Mh. Kikwete, Tundu hatafuti umaarufu wa kisiasa!

Huyu rais, unajua anaingizwa mtini na jenge la wanafiki wanaomshauri bila mwenyewe kujua athari za atendayo! sasa wenzetu huko nje wanatuelewa tuna rais wa aina gani kama anateua watu bila kuzingatia shria na vigezo vilivyokubaliwa kitaifa?

Si juzi umesikia tena kituko cha Wizara ya Afya, Utumishi na TAMISEMI kumteua RMO wa Simiyu kinyume na sheria , kanuni na taratibu ili tu kumfurahisha Mteule wa rais (RC) ambae ni kada, bila kujali athari zake?

Hii ni zarau kwa taaluma.Shida vyeo nchi hii vinapeanwa na si vigezo. Wanapoboronga taaluma yote inadharaulika! Madaktari (MDs+) wanaadaamgomooooo kukwepa aibu, Majaji mnasemaje?
 
taifa hili linahitaji maombi zaidi kuliko matamko ya hadhara mbalimbali
 
NI wajibu wa Kila mtanzania kuelimisha umma, LISSU atoke andiko la hawa anaosema hawana sifa, atuelimishe matakwa ya kisifa yako vipi na wao wako vipi harafu atuachie wananchi. Aweke wazi andiko kuhusu hawa watu kwa ajili ya kumbukukmbu ya kizazi na vizazi. Mfano kwa sasa watanzania wengi hawajui sheria inataka nini kuhusu jaji nini kimekosewa etc na kina nani hawana sifa hizo, LISSU finguka baba, uwanja ni mpana.
hivi wewe umefikiria kwanza, kabla ya kutoa mchango wako kwenye hii mada?
 
Wakuu huyu TL sio mwenzetu hapa jamvini? si aweke bayana lile andiko alilosoma kule Arusha? Au mwenye nakala yake aiweke hapa. Dhaifu hupita hapa ataliona na .............alipotoshwa.............same never ending alibi
 
kwa kawaida ukweli unauma ila tu kama anaeambiwa ni rafiki wa busara kama busara si rafiki yake na wala yeye mwenyewe hana busara atachukia. lakini ushauri mzuri unabaki kuwa mzuri hata kama mtu anataka kuufanya mbaya kwa matakwa. JK fikiria upya . Lisu hakurupuki
 
Tatizo siyo tofauti ya hizo degree Mkuu, tatizo ni kuteuliwa akiwa hana sifa halafu anazitafuta sifa baada ya kukalia kiti kilichostahili kuwa na degree yenyewe kabla ya uteuzi!


Don't you repeat what others have told me in previous posts?
 
Bado hajaipata ndo kwanza anasoma ndugu sasa jiulize na akidisco je? Fikiria ndugu au umedandia treni ya mwakyembe kwa mbele?

Don't you repeat what others have told me in previous posts?
 
Don't you repeat what others have told me in previous posts?

Silva Rweyemamu mshauri mheshimiwa JK awe anapitia JF mara moja atapata mawazo mazuri tu humu. waliomzunguka ni wanafiki wanamdanganya wapate kura yao. Humu kuna ukweli!
 
Silva Rweyemamu mshauri mheshimiwa JK awe anapitia JF mara moja atapata mawazo mazuri tu humu. waliomzunguka ni wanafiki wanamdanganya wapate kura yao. Humu kuna ukweli!

So you think I am the GUY. Don't you?
 
Viweke vigezo vya mtu kuwa judge hapa. Kama mtu hafai kuwa judge kwa sababu hana digrii. Basi hafai kuwa hakimu wa mahakama yoyote hiye.

tumia kidogo busara au kaa kimya.Onyesha nawe ni great thinker na si shabiki.
haileti mantiki kusema kama huna degree usiwe hakimu wa mahakama yeyote,kwa akili yako mahakama ya mwanzo hakimu awe na degree wakati hata mawakili hawaruhusiwi.
hoja dhaifu hata haijadiliki hapa labda primary school na kukaa kimya kwa kitu usichokijua si dalili ya ujinga bali wingi wa hekima
 
Hapana twende taratibu mkuu, usiwe na haraka... Nakubaliana na hoja yako. Ila pia nataka kuelewa, kama hapa ungenisaidia ungeniambia huyo judge ni nani, hapo hapo ukanisaidia kwa kuniwekea ombi langu la kupata CV yake. Hilo linatokana na basis kuwa katika jamii yetu kuna watu wanawajibika na kufanya mambo makubwa sana lakini kwa bahati mbaya ama nzuri hawajabahatika kusoma na kufuzu darasani.

Ila unakuta ni mtu ambaye anajituma saana! Anasoma sana vitabu hasa vya idara yake, anafuatilia documentaries, anafuatilia practices na vitu mbali mbali. Siwezi support hili jambo sababu tu Lissu ame point out (as much as hoja yake ni nzito) na wala sio tu sababu kachaguliwa na JK (kwa sababu ya madhaifu mengi aliyofanya wakati wa uongozi wake).

Hivyo narudi pale pale, kama utaweza naomba tumtambue huyo judge na tuapate CV kama itawezekana... Eventually mengine yatafuata kama uko sawa ama lah.

kuna hoja gani kubwa hapa zaidi ya katiba ya jamhuri ambayo imeweka vigezo vya mtu kuteuliwa jaji?
DEGREE YA SHERIA.huna haja ya kutafuta loopholes za uvunjaji wa katiba
 
Tatizo siyo tofauti ya hizo degree Mkuu, tatizo ni kuteuliwa akiwa hana sifa halafu anazitafuta sifa baada ya kukalia kiti kilichostahili kuwa na degree yenyewe kabla ya uteuzi!
Mwambie mkuu!! Aliyeteuliwa hakuwa na Degree! Alianza OUT baada ya kuteuliwa!! This is unprofessional!!
 
Tofauti ni ile tu kuwa akisoma 'OUT' hatatambulika kuwa ni judge kwa hao wadau, na kubaki kumshangaa masomo ya 1st degree kumtoa knock out na hali ni judge, better yet kushangaa iweje ni judge na hana hata degree? Hapa UDSM ni kama vile watakuwa wamewasha moto... Can you imagine judge anaenda kujichanganya na undergraduates wengine kusaka hio nembo?

All in all, nadhani hicho cha kusoma degree nje si kigezo pekee cha kumshangaa na kum judge; nakataa kuamini kuwa kichwani kwa huyo aliyepewa dhamana ya u'JUDGE' ni hewa tupu... Labda CV yoote ya mhusika ikichekiwa ipo vipi? Unaweza kuta kaunganisha courses na yupo vizuri sana katika sheria kuliko hata wa degree.

Ni kweli kabisa AshaDii.
Ishu ya huyu judge ni more on "technicalities" ambazo zimewekwa na sheria zenyewe.
Judge muhusika anayo 1st degree lakini siyo ya sheria. Kisha akasomea Masters ya Sheria ilhali ili uwe judge lazima uwe na degree yab kwanza ya sheria - LLB.
Usomi wa huyu jaji hauna dosari na wala siyo kihiyo hata kidogo.
 
Back
Top Bottom