Wana JF
Nianze kwa ku declare interest kuwa mimi kwa upande wa masuala ya siasa niko upinzani lakini kuwa mpinzania haina maana ya kukosoa kila kitu hata pale panapostahili kupongeza
Mh. Jakaya Mrisho Kikwete Rais wa awamu ya nne, katika jambo ambalo utakumbukwa ni kurusu uundwaji wa katiba mpya ya nchi yetu, hilo ni jambo zuri sana ulilolifanya mpaka hatua hii.
Lakini yameanza kusikika masikioni mwa watu na baadhi ya vyombo vya habari vimeeleza kuwa CCM watakuwa na kikao maalum cha kuijadili rasimu ya Katiba mpya chini ya unyekiti wa mweshimiwa Rais. Mimi sijaona popote katika mchakato wa uundwaji wa katiba inapoelezea vyama vya siasa vitakaa rasimi na kujadili rasimu ya katiba. Kwa kazi hiyo yapo mabaraza ya katiba na bunge la katiba na si vyama vya siasa.
Chonde chonde rasimu iliyopo angalau imekidhi haja ya mioyo ya watanzania, tunawaombeni CCM msije mkatualibia mchakato na kuipeleka nchi katika machafuko yasio ya lazima
Nianze kwa ku declare interest kuwa mimi kwa upande wa masuala ya siasa niko upinzani lakini kuwa mpinzania haina maana ya kukosoa kila kitu hata pale panapostahili kupongeza
Mh. Jakaya Mrisho Kikwete Rais wa awamu ya nne, katika jambo ambalo utakumbukwa ni kurusu uundwaji wa katiba mpya ya nchi yetu, hilo ni jambo zuri sana ulilolifanya mpaka hatua hii.
Lakini yameanza kusikika masikioni mwa watu na baadhi ya vyombo vya habari vimeeleza kuwa CCM watakuwa na kikao maalum cha kuijadili rasimu ya Katiba mpya chini ya unyekiti wa mweshimiwa Rais. Mimi sijaona popote katika mchakato wa uundwaji wa katiba inapoelezea vyama vya siasa vitakaa rasimi na kujadili rasimu ya katiba. Kwa kazi hiyo yapo mabaraza ya katiba na bunge la katiba na si vyama vya siasa.
Chonde chonde rasimu iliyopo angalau imekidhi haja ya mioyo ya watanzania, tunawaombeni CCM msije mkatualibia mchakato na kuipeleka nchi katika machafuko yasio ya lazima