Hebu tuzungumzie japo kidogo tu kuhusu hali ya raisi wetu.
Mwaka 2005 alianguka pale jangani tukapewa sababu hizi na zile.
Ameenda Mwanza CCM Kirumba ameanguka tena jukwaani, sababu hazikosekani.
Mwaka huu wa uchaguzi tena ameanguka palepale jangwani hawachoki kutudanganya. Niliwahi kusoma gazetini kuwa alishawahi kuanguka tena airport huko nje
Hivi kweli CCM na serikali yao wameshindwa hata kuangalia afya ya rais wa tanzania? Hawa madaktari wake wanafanya kazi gani? Au tunamlaumu dereva wakati gari ni bovu? Kila mmoja anapaswa awajibike kwa nafasi yake.
Hebu nisaidieni maoni jamani....
Mwaka 2005 alianguka pale jangani tukapewa sababu hizi na zile.
Ameenda Mwanza CCM Kirumba ameanguka tena jukwaani, sababu hazikosekani.
Mwaka huu wa uchaguzi tena ameanguka palepale jangwani hawachoki kutudanganya. Niliwahi kusoma gazetini kuwa alishawahi kuanguka tena airport huko nje
Hivi kweli CCM na serikali yao wameshindwa hata kuangalia afya ya rais wa tanzania? Hawa madaktari wake wanafanya kazi gani? Au tunamlaumu dereva wakati gari ni bovu? Kila mmoja anapaswa awajibike kwa nafasi yake.
Hebu nisaidieni maoni jamani....