naninibaraka
JF-Expert Member
- Oct 13, 2011
- 910
- 668
Nakuandikia ujumbe huu muhimu nikiwakilisha mawazo chanya ya watz wenzangu ambao kwa namna moja au nyingine tumekata tamaa na serikali yako ya sasa,ninakutahadharisha kwa hili kwa kuwa wewe kwa nafasi yako ndani ya serikali tayari kuna tetesi kuwa una mtu wako mfukoni,ndo mana umekuwa ukigombanisha watu kwa maslahi ya mtu wako,lililo wazi ni kuwa hatuko tayari kurud tulipotoka,tunahitaj kiongoz mchapakazi na jasir na aliye na msimamo wa dhati usiyoyumba ,wito wangu ni kuwa angalau kipindi kilichobaki kwako punguza safari za nnje zisizokuwa na tija kwa mwananchi maskini! Rais atoke kusini,kaskazini,mashariki,magharibi au popote so far ni hard worker hakuna tatizo atabaki kuwa rais wa watz wote nawasilisha