Bill
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 8,232
- 8,429
Kighoma Ali Malima (RIP), enzi za utawala wa Mwinyi, alipobanwa na bunge na wabunge kuhusu misamaha ya kodi kwa waagiza wa bidhaa nje ya nchi alinena yafuatayo;
Kwa nini wabunge wa CCM tunaumbuana wenyewe, ni lazima tu save face. Baadae huyu ndugu Malima alilazimika kujiuzulu lakini sio kwa shinikizo la wabunge ama maamuzi ya Rais (Mwinyi) aliyeamua kumlinda. Alijiuzuru kwa shinikizo la Mwalimu JK. Nyerere pamoja na wahisani walioamua kukata misaada kwa serikali isiyokusanya kodi.
Kwa hali hiyo msitegemee hawa mawaziri watajiuzuru, mpaka nguvu ya umma itakapofanya kazi.
Kwa nini wabunge wa CCM tunaumbuana wenyewe, ni lazima tu save face. Baadae huyu ndugu Malima alilazimika kujiuzulu lakini sio kwa shinikizo la wabunge ama maamuzi ya Rais (Mwinyi) aliyeamua kumlinda. Alijiuzuru kwa shinikizo la Mwalimu JK. Nyerere pamoja na wahisani walioamua kukata misaada kwa serikali isiyokusanya kodi.
Kwa hali hiyo msitegemee hawa mawaziri watajiuzuru, mpaka nguvu ya umma itakapofanya kazi.