Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
<table border="0" cellpadding="0" cellspacing="0" width="100%"><tbody><tr><td align="left"><table bgcolor="#dddddd" border="0" cellpadding="0" cellspacing="0" height="23" width="100%"><tbody><tr><td width="606">
</td> <td align="right" width="139">
</td> <td align="right" width="12">
</td> </tr> </tbody></table></td> </tr> <tr> <td bgcolor="#999999">
</td> </tr> <tr> <td class="shortnews" align="left" bgcolor="#ffffff" valign="top">
</td></tr></tbody></table>
</td> <td align="right" width="139">
</td> <td align="right" width="12">
</td> </tr> </tbody></table></td> </tr> <tr> <td bgcolor="#999999">
<!--ThumbBegin-->
<!--ThumbEnd-->
Mzurikwao Ramadhani Kapuya, ambaye ni binti wa Kaka wa Waziri wa Kazi, Ajira na Maendeleo ya Vijana, Mh. Prof. Juma Athuman Kapuya, amefunga ndoa na Bw. Salum Kabola nyumabani kwa Mh, Masaki jijini Dar es salaam leo mchana. Pichani wanandoa hao wakiwa na nyuso za furaha mara baada ya ndoa.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Mama Sitti Mwinye (kushoto) nae akimpa mkono wa pongezi Binti Kapuya
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Mh. Waziri Kapuya (kulia) akimuozesha Bw. Malum mbele ya Sheikh
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Mzee Ali Hassan Mwinyi (kwanza kulia) nae alikuwa miongoni mwa viongozi wa serikali waliohudhuria harusi hiyo
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Abdulrahman Kinana (Kulia) nae alikuwepo. Tunawatakiwa kila la kheri wanandoa hao.
Mzurikwao Ramadhani Kapuya, ambaye ni binti wa Kaka wa Waziri wa Kazi, Ajira na Maendeleo ya Vijana, Mh. Prof. Juma Athuman Kapuya, amefunga ndoa na Bw. Salum Kabola nyumabani kwa Mh, Masaki jijini Dar es salaam leo mchana. Pichani wanandoa hao wakiwa na nyuso za furaha mara baada ya ndoa.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Mama Sitti Mwinye (kushoto) nae akimpa mkono wa pongezi Binti Kapuya
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Mh. Waziri Kapuya (kulia) akimuozesha Bw. Malum mbele ya Sheikh
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Mzee Ali Hassan Mwinyi (kwanza kulia) nae alikuwa miongoni mwa viongozi wa serikali waliohudhuria harusi hiyo
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Abdulrahman Kinana (Kulia) nae alikuwepo. Tunawatakiwa kila la kheri wanandoa hao.
</td></tr></tbody></table>