Mh. Kapuya apata mkwe

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,319
33,125
<table border="0" cellpadding="0" cellspacing="0" width="100%"><tbody><tr><td align="left"><table bgcolor="#dddddd" border="0" cellpadding="0" cellspacing="0" height="23" width="100%"><tbody><tr><td width="606">

</td> <td align="right" width="139">
</td> <td align="right" width="12">
</td> </tr> </tbody></table></td> </tr> <tr> <td bgcolor="#999999">
pix.gif
</td> </tr> <tr> <td class="shortnews" align="left" bgcolor="#ffffff" valign="top">
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Mzurikwao Ramadhani Kapuya, ambaye ni binti wa Kaka wa Waziri wa Kazi, Ajira na Maendeleo ya Vijana, Mh. Prof. Juma Athuman Kapuya, amefunga ndoa na Bw. Salum Kabola nyumabani kwa Mh, Masaki jijini Dar es salaam leo mchana. Pichani wanandoa hao wakiwa na nyuso za furaha mara baada ya ndoa.

<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Mama Sitti Mwinye (kushoto) nae akimpa mkono wa pongezi Binti Kapuya

<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Mh. Waziri Kapuya (kulia) akimuozesha Bw. Malum mbele ya Sheikh

<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Mzee Ali Hassan Mwinyi (kwanza kulia) nae alikuwa miongoni mwa viongozi wa serikali waliohudhuria harusi hiyo

<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Abdulrahman Kinana (Kulia) nae alikuwepo. Tunawatakiwa kila la kheri wanandoa hao.


</td></tr></tbody></table>
 
jaamani huyo bwana harusi
mbona kama babake kabisaa ....amekubalije kuolewa na mzee hivyo alikosa
vijjana kweli....???
 
Bwana harusi hana babake ni muhimu kuonyeshwa bana mbona tumeona upande wa bi harusi au sababu ni Kapuya ,kama mlovyotuonyesha kwa kapuya na kwa bwana harusi ni vivyo hivyo na kama haituhusu usingeleta hapa sasa umeleta hii habari hapa vipi kama haituhusu?
 
jamani huyu si ni mbabu jamani?mhhh haya kila la kheri wanandoa nyie
 
Back
Top Bottom