Bubu Msemaovyo
JF-Expert Member
- May 9, 2007
- 3,832
- 2,790
Hakika ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Firauni,
Leo nimeweza kuona kwa macho yangu " operation kusanywa pesa za daladala za Mbagala " inayofanywa na Trafic Police waliopo makutano ya Kamata ukielekea BP hadi hapa junction au round about zinqpotundikwa bendera za nchi mbalimbali kupelekea central. Trafic anasimamia gari kwa kuliamuru liegeshe pembeni kisha kondakta anatetemka na kutoa mchango au niseme sadaka yake kisha anaondoka bila kukutana na yule Trafic ambaye anakuwa busy kusimamisha magari mengine kwa ajili ya sadaka hiyo HARAM. Kila gari linatakiwa kuchanga 2,000/= chini ya hapo inaandikwa wanachokiita cheti. Hii inakera sana Mh fuatilia zoezi hilo linafanyika asubuhi saa 11.30 asante kwa kusoma taarifa hii.
Leo nimeweza kuona kwa macho yangu " operation kusanywa pesa za daladala za Mbagala " inayofanywa na Trafic Police waliopo makutano ya Kamata ukielekea BP hadi hapa junction au round about zinqpotundikwa bendera za nchi mbalimbali kupelekea central. Trafic anasimamia gari kwa kuliamuru liegeshe pembeni kisha kondakta anatetemka na kutoa mchango au niseme sadaka yake kisha anaondoka bila kukutana na yule Trafic ambaye anakuwa busy kusimamisha magari mengine kwa ajili ya sadaka hiyo HARAM. Kila gari linatakiwa kuchanga 2,000/= chini ya hapo inaandikwa wanachokiita cheti. Hii inakera sana Mh fuatilia zoezi hilo linafanyika asubuhi saa 11.30 asante kwa kusoma taarifa hii.