swissme asante mkuu
mwanzo nilimuona dogo kama anacheza nilipokaa nikawasikiliza watunga hoja za kutetea mafisadi toka ccm to be honestly nilimuona dogo anatafuta umaarufu....
_kwa kweli hata leo hii kama si upinzani hakuna mtu angewajibika ccm kama ile movie ya jana eti chenge ndio amatoa njia
Mh Kafulila:Una demu kipiraa!,kaz kwako kudundisha.Pia tunaktakia maisha mema ktk ndoa yako kikubwa maisha ya ndoa yanataka kusikilizana,kupenda,kushauriana na pia kuaminiana.Mkifuata hayo mtakuwa na familia yenye furaha.Asante kwa uimara wako ktk sakata la escrow,siku zote ukwel hujidhihilisha hata kama umefichwa.Mpe hi shem!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.