Siku za nyuma nilipokuwa bado shuleni nilikuwa navutiwa sana na kazi ya utangazaji ya Juma Nkamia ambaye sasa ni Mh. Mbunge. Lakini nikawa napata shida kidogo kuhusiana na tabia yake ya dharau hasa panapotokea jambo la kujadili mada. Sikutilia maanani sana kwani sikuwa na muda wa kutosha kumfuatilia mara ka mara. Lakini hali hii ilidhihirika wakati fulani mwaka fulani aliingia mgogoro na aliyekuwa mtangazaji pia na Abdalah Majura kwenye issue fulani ya mambo ya uongozi wa michezo. Baada ya hapo nilikuwa namsikia na dharau zake kwenye mambo mbali mbali hasa kwenye utangazaji wa BBC kama sijakosea.
Jana tena (29.06.2011)akawa anahojiwa na BBC kuhusu posho meza moja na Zitto Kabwe. Yaani utajagundua ni mtu wa ku attack personality kuliko kujadili mada.
Mi binafsi nilikuwa na mheshimu sana lakini nimeona ni mtu wa ajabu kweli kweli hana sifa za kuwa kiongozi ni kheri angeendelea na mredio wao wa CCM Taifa (TBC
Jana tena (29.06.2011)akawa anahojiwa na BBC kuhusu posho meza moja na Zitto Kabwe. Yaani utajagundua ni mtu wa ku attack personality kuliko kujadili mada.
Mi binafsi nilikuwa na mheshimu sana lakini nimeona ni mtu wa ajabu kweli kweli hana sifa za kuwa kiongozi ni kheri angeendelea na mredio wao wa CCM Taifa (TBC