Halfcaste
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 972
- 215
Mh.Rais J.Kikwete baada ya kuapishwa 2005,alihutubia Bunge na kutangaza kuongeza ushuru wa magari ya Mitumba(recondition cars) yaingizwayo tz kwa kisingizio kwamba 'yanachafua mazingira,na vilevile kuwa repair yake inagharimu uchumi'. Ushuru ulipandishwa na uko juu.Leo hii tunaona watanzania wanahangaika kununua magari yale yale Rwanda,Burundi,Uganda,Zambia,Kenya etc,kwamba eti ushuru wa hizi nchi ni mdogo.
1.Vijijini wagonjwa vijijini bado wanapakiwa kwenye Machela, baiskeli na malori ya mchanga...
2.Ugonjwa Fistula kwa akina mama,ndo unazidi kukua kutokana na akina mama hawa kukaa na uchungu mda mrefu kwa kukosa usafiri kufuata vituo vya afya.
3.Je Wabunge wa CCM na Upinzani mliompigia makofi rais siku hiyo mlikuwa na maana gani? Je, uchumi wa Mlala wima(hoi) wa Tanzania unaweza kununua Gari brand?
4.Je, Wabunge,viongozi wa serikali mnaotegemea magari mapya yalionunuliwa na kodi za mlala wima mnafurahishwa na hali hii si ndio ?
CHADEMA kwa hili nawapa sufuri(0%)
1.Vijijini wagonjwa vijijini bado wanapakiwa kwenye Machela, baiskeli na malori ya mchanga...
2.Ugonjwa Fistula kwa akina mama,ndo unazidi kukua kutokana na akina mama hawa kukaa na uchungu mda mrefu kwa kukosa usafiri kufuata vituo vya afya.
3.Je Wabunge wa CCM na Upinzani mliompigia makofi rais siku hiyo mlikuwa na maana gani? Je, uchumi wa Mlala wima(hoi) wa Tanzania unaweza kununua Gari brand?
4.Je, Wabunge,viongozi wa serikali mnaotegemea magari mapya yalionunuliwa na kodi za mlala wima mnafurahishwa na hali hii si ndio ?
CHADEMA kwa hili nawapa sufuri(0%)