Rais Kikwete acha tabia ya kubebana

mwanatanu

JF-Expert Member
Jan 22, 2008
851
127
Naamini Mh JK kama kweli ana advisor wazalendo basi huu ni wakati muafaka wa JK kuwafukuza kazi Karamagi,Mramba,Meghji yaani hawa ni baadhi tu ya mawaziri wazembe.Hizo wizara zimemezwa na mafisadi wanatia kichefuchefu...JK sijui ni kipofu au kiziwi jamani..leo nimesikia wale walaji wa bandarini TICTS wanaongezewa lease lo tutafika kweli.I bet Karamagi ana 10% yake....i hope JK ana wale chokoraa wake wana visit hii JF na ku pass kilio chetu walala hoi.
 
Issue ni kwamba JK hana uwezo wa kuwafukuza hao wote, hawafukuziki. Hapo anayefukuzika ni Meghji tu, hao wengine ni visiki, na visiki having'olewi kwa jembe.
Lakini wewe mwanatanu unashangaza sana kuwaita hao watu wazembe, hii sio Tanu ni CCM mtandao, na hao jamaa sio wazembe hata kidogo, ni watu makini kwenye wanayofanya na ndio maana wamewekwa kwenye list ya ufisadi. Hao ni mafisadi sio wazembe kama wewe unavyodhani
 
Issue ni kwamba JK hana uwezo wa kuwafukuza hao wote, hawafukuziki. Hapo anayefukuzika ni Meghji tu, hao wengine ni visiki, na visiki having'olewi kwa jembe.
Lakini wewe mwanatanu unashangaza sana kuwaita hao watu wazembe, hii sio Tanu ni CCM mtandao, na hao jamaa sio wazembe hata kidogo, ni watu makini kwenye wanayofanya na ndio maana wamewekwa kwenye list ya ufisadi. Hao ni mafisadi sio wazembe kama wewe unavyodhani

Hata kwa shoka hawang'oki ng'ooooo mwenye kuwang'a hao ni Mwenyezi Mungu. Mfano halisi ni Kingunge, tangu nazaliwa jina la kingunge sasa umri ndo hivyo kingunge ikulu jamani why vingunge hadi meno yanawatoka midomoni bado mpo tu mnawasiwasi gani mkiachia madaraka yenu?????
 
Mwanatanu na Bubu msemaovyo naomba muelewe kwamba hawa watu hawakuanza jana, ni kwamba hata madaraka ya nchi yanakwenda kwa urithi. Hivyo kama ni mzee au babu alishakuwa madarakani basi ni wazi hata wewe watakutafutia mahali pazuri ili ule.
 
Mitomingi kitu kiitwacho dhana ndio imetufanya dhalili sana sie watu wa bara la Afrika..where is your sense of patriotism? wananchi wanakereketwa na wanatoa hoja nzito we unakuja na nosense comments....c'mon wake up leta hoja na hopeful one day things will change for better
 
...JK sijui ni kipofu au kiziwi jamani..leo nimesikia wale walaji wa bandarini TICTS wanaongezewa lease lo tutafika kweli.I bet Karamagi ana 10% yake....i hope JK ana wale chokoraa wake wana visit hii JF na ku pass kilio chetu walala hoi.

Mwanatanu,

Hakika wewe ni kipofu!!! issue ya TICTS na extension ya Mkataba ilishafanyika zamani na kwa sasa mkataba umeshashika vumbi la hali ya juu, na ukitaka kuupata lazima utoe maziwa kwa mtunza masijala...

Sasa unavyotuambia ndio umesikia kwamba lease ina-be extended... unatushangaza...
 
Naamini Mh JK kama kweli ana advisor wazalendo basi huu ni wakati muafaka wa JK kuwafukuza kazi Karamagi,Mramba,Meghji yaani hawa ni baadhi tu ya mawaziri wazembe.Hizo wizara zimemezwa na mafisadi wanatia kichefuchefu...JK sijui ni kipofu au kiziwi jamani..leo nimesikia wale walaji wa bandarini TICTS wanaongezewa lease lo tutafika kweli.I bet Karamagi ana 10% yake....i hope JK ana wale chokoraa wake wana visit hii JF na ku pass kilio chetu walala hoi
.

Hivi inakuwaje nyie Watanzania mnamwona JK ni msafi??Huyu JK ni mjeuri,mwenye kiburi na dharau kwa Watanzania,zaidi ya yote ni mwizi.Kwa ujumla hana time na wabongo.Nashangaa mnapojaribu kujipendekeza ili kumwonyesha yeye hana tatizo!!Kwa kifupi yeye ndo tatizo na 1 kwa Nchi hii.
 
Naamini Mh JK kama kweli ana advisor wazalendo basi huu ni wakati muafaka wa JK kuwafukuza kazi Karamagi,Mramba,Meghji yaani hawa ni baadhi tu ya mawaziri wazembe.Hizo wizara zimemezwa na mafisadi wanatia kichefuchefu...JK sijui ni kipofu au kiziwi jamani..leo nimesikia wale walaji wa bandarini TICTS wanaongezewa lease lo tutafika kweli.I bet Karamagi ana 10% yake....i hope JK ana wale chokoraa wake wana visit hii JF na ku pass kilio chetu walala hoi.

Mimi nadhani imefika wakati tusiwalaumu sana washauri wa JK, Hata kama JK ana washauri ambao ni wazalendo, hakuna chochote kitakachofanyika ikiwa yeye mwenyewe JK sio Mzalendo. Mpaka hivi sasa tumeona Kikwete ni mtu wa aina gani, Huyu Rais ni FISADI, JAMBAZI na zaidi ya yote asiyejali maslahi ya nchi yetu.
 
Mimi nadhani imefika wakati tusiwalaumu sana washauri wa JK, Hata kama JK ana washauri ambao ni wazalendo, hakuna chochote kitakachofanyika ikiwa yeye mwenyewe JK sio Mzalendo. Mpaka hivi sasa tumeona Kikwete ni mtu wa aina gani, Huyu Rais ni FISADI, JAMBAZI na zaidi ya yote asiyejali maslahi ya nchi yetu.

Haswa anajijua yeye tu na watu wake, ikifika karibia na uchaguzi anawatupia watu fulana za sisiemu na upande wa kanga ili achaguliwe tena.
 
Mitomingi kitu kiitwacho dhana ndio imetufanya dhalili sana sie watu wa bara la Afrika..where is your sense of patriotism? wananchi wanakereketwa na wanatoa hoja nzito we unakuja na nosense comments....c'mon wake up leta hoja na hopeful one day things will change for better
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom