Mh. January makamba

Mpevu

JF-Expert Member
Nov 23, 2010
1,806
173
Kuna tetesi (zisizo rasmi) kuwa kuna uwezekano wa mh huyu kutorejea tena jimboni mwake 2015, sababu zilizopo ni ndizo zilizopelekea hata kutokuwemo kwenye cabinet iliyoapishwa hivi punde hapa Magogoni.
Lakini cha ajabu ni kwamba janki huyu mwenzetu amekuwa karibu saaana na mkuu wa nchi tangu walipokuwa MAMBO YA NJE na wakahamia wote pale magogoni, hatujui nini kimejificha baina yao ukizingatia baba ndie mtendaji mkuu wa chama TWAWALA.
 
mimi nadhani sababu ni mzee wake maana tangu kipindi cha kampeni baba mtu alikua anajigamba kuwa mwanae lazima achaguliwe waziri sasa jk akaona hii ni upuuzi
 
uzuri magazeti nayo yamesaidia kuweka uwazi zaidi wa haiba ya huyu kijana, ila mzee yule wa Bumbuli huenda nae ametoa malalamiko yake kwa chama
 
January kama anataka kwenda mbali kwenye siasa aache mipombe.

But then again benefactor wake Mkapa alikuwa chapombe mpaka analala fofofo kabla ya state visits, kiasi cha kumchelewesha Mwinyi na kuvunja protokali, lakini akaenda kuwa rais.

So, bongo nyota zako zikiwa safi unapeta tu.
 
Nafasi zilizokuwepo za mawaziri ni chache kuliko idadi ya wabunge wa CCM. Ubunge nao ni utumishi tosha kwa jamii ya Bumbuli
 
Kuna tetesi (zisizo rasmi) kuwa kuna uwezekano wa mh huyu kutorejea tena jimboni mwake 2015, sababu zilizopo ni ndizo zilizopelekea hata kutokuwemo kwenye cabinet iliyoapishwa hivi punde hapa Magogoni.
Lakini cha ajabu ni kwamba janki huyu mwenzetu amekuwa karibu saaana na mkuu wa nchi tangu walipokuwa MAMBO YA NJE na wakahamia wote pale magogoni, hatujui nini kimejificha baina yao ukizingatia baba ndie mtendaji mkuu wa chama TWAWALA.
i am sorry to say that this is crap and probably wewe ni mmoja wa watu waliotumwa kuharibu kabisa JF
 
mind you,
This is an open forum...kujadili, kujua, kutathmini na kubadilishana mawazo ama ewe ACID upo based mahali fulani..?
 
mind you,
This is an open forum...kujadili, kujua, kutathmini na kubadilishana mawazo ama ewe ACID upo based mahali fulani..?

Mazee inawezekana huo ndio mchango wake katika open forum hii, au kama mtu anaona hii thread ni bs rules za open forum hazimruhusu kusema hivyo ?

Huwezi kusema forum ina uhuru, lakini hutakiwi kusema thread ni bs.
 
mind you,
This is an open forum...kujadili, kujua, kutathmini na kubadilishana mawazo ama ewe ACID upo based mahali fulani..?
sorry dude... ila sijaona umejadili, umejua, umetathmini au kubadilishana mawazo... nilichoona mimi umespeculate na kusingizia eti tetesi zisizo rasmi

It would have been fair kwa january kama ungesema tu hayo ni mawazo yako

Nimetumia the same freedom uliyotumia wewe and i guess its all good
 
One thing i liked about january makamba ni his Ideas na "ndoto" alizokuwa kuwa nazo kam angepata ubunge . Nilichofurahi zaidi ni yeye kukosa uwaziri sababu kwa kupata uwaziri zile ideas nzuri alizokuwa nazo ingekuwa kazi kuzifanyi kazi.

Nilichofurahi pia kwa kupewa uwaziri watanzania wote tungeona kabewa kupita kiasi.

Now its time for January Makamba ku relise ile bumbuli aliyokuwa ana "ota" kwa kufanikisha hata 30% ya bumbuli yenye magari ya kisasa ya kusfirisha matunda. bada ya hayo Nitapenda kuona anapanda kamajukumu zaidi na zaidi
 
One thing i liked about january makamba ni his Ideas na "ndoto" alizokuwa kuwa nazo kam angepata ubunge . Nilichofurahi zaidi ni yeye kukosa uwaziri sababu kwa kupata uwaziri zile ideas nzuri alizokuwa nazo ingekuwa kazi kuzifanyi kazi.

Nilichofurahi pia kwa kupewa uwaziri watanzania wote tungeona kabewa kupita kiasi.

Now its time for January Makamba ku relise ile bumbuli aliyokuwa ana "ota" kwa kufanikisha hata 30% ya bumbuli yenye magari ya kisasa ya kusfirisha matunda. bada ya hayo Nitapenda kuona anapanda kamajukumu zaidi na zaidi

Sasa kwa mbaaaali naanza kuamini kwamba kuna idadi kubwa ya watz inayomini kwamba kuna chocolate kwene kila box!
 
Sasa kwa mbaaaali naanza kuamini kwamba kuna idadi kubwa ya watz inayomini kwamba kuna chocolate kwene kila box!

Abdulhalim Hahahhahha wewe uko upande gani? Sio kun chochote kwenye kila boksi kuna chochote kwenye maboksi machache. Inworst case scenario tuliyopo Kuna maboksi hata kama ni kufanya betting basi yanatia matumaini
 
January kama anataka kwenda mbali kwenye siasa aache mipombe.

... Mkapa alikuwa chapombe mpaka analala ... lakini akaenda kuwa rais.

So, bongo nyota zako zikiwa safi unapeta tu.
excuse you, you contradicted yourself... the kinda talk that makes me think you probably ain't got no pudding
 
......labda mkulu amegundua kuwa jamaa alikuwa anamuongopea sana kwenye speech zake
 
Habari inayoanza na "kuna tetesi....; kutoka vyanzo visivyo rasmi; inasemekaa... imekaa ki udaku-udaku. Kwa maoni yangu, pasipo kumnyima mtu haki yake ya kujieleza na kutoa maoni yake zingepelekwa moa kwa moja kwenye firum ya udaku zinakohusika. Kuna ma-thinkers wanajaribu kujenga falsafa kwenye mambo yasiyohitaji utani, si vema kuusumbua mtiririko wa mawazo yenye uhalisia wa mambo kwa habari zizizo rasmi na zisizotusaidia kupiga hatua kwenda mbele.
 
So, bongo nyota zako zikiwa safi unapeta tu.
Kiranga, tukubali au tukatae, the guy is smart upstairs, japo enzi hizo akiwa Morogoro kabla Baba hajahamishiwa Kigoma kuwa RC, kijana alikuwa na issue yake fulani sensetive, ila kwa vile aliajiriwa foreign then Ikulu, verting itakuwa ilishamclear kitambo.

Hili la kurudi au kutorudi Bumbuli 2015 ni majungu tuu kwa sababu determinant factor ni performance yake kama mbunge, nothing more, nothing less.
 
Kilicho wazi nia yake ilikuwa ni Naibu Waziri, na ndio maana hata baada ya kutangazwa Baraza alitumia mtindo wa kujikosha kupitia gazeti la Mtanzania akidai, aligombea kuwatumikia wananchi wa Bumbuli. Story ile eti ilitumika kwa wananchi kumpa pole, sijui kama unapata maana ya ilipoanzia hiyo story, kimemuumiza kuachwa, lakini bado mapema siunajua hatuchelewi kusikia JK anafanya mabadiliko ya Baraza lake mwezi wa pili mara utasikia J Makamba yumo ndani. Ila anafanya kazi, anabidii na kazi.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom