KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Mh,J.Makamba naomba uelewe kuwa kampuni ya simu ya Vodacom inahamisha kitengo cha mawasiliano nchini INDIA!!Kitengo cha uratibu wa mawasiliano cha voda kinahamishiwa INDIA kinyemera ni kitengo kijulikanacho NETWORK OPERATION CENTRE(NOC) Wao watakuwa wanaoperate kutoka INDIA kwakutoa maelekezo kitengo cha ufundi!na kuwaelekeza mafundi ni minara gani inahitajika kuwekewa mafuta,kufanyiwa service!!Nakusababisha idara hiyo kufutwa!!na ajira za watanzania zaidi ya 30 kupoteza ajira!na waindi kupata hizo ajira kutoka huko INDIA! Je usalama wa Taifa uko katika mahali kwake?je TCRA Wapo wapi au Mkurugenzi ana agenda ya siri?Je Waziri mwenye dhamana yuko wapi?Je inawezekanaje contral department iwe INDIA?Mh, J.Makamba tunaomba ufatilie kwakuwa wewe ni kijana mwenzetu!.