mmhh,,,hapa kuna jiwe limetupwa gizani,,,!Mh kikwete tunajua tunajua kitabu utakachoandika kitakuwa kwa lugha ya kingereza kwasababu wewe na mkapa mlikuwa watu wa kimataifa hatutegemei kwa miaka mingi ijayo kiongozi wetu kuandika kitabu chake kwa lugha hiyo.
mmhh,,,hapa kuna jiwe limetupwa gizani,,,!
[/QUOTE
Mh kikwete tunajua tunajua kitabu utakachoandika kitakuwa kwa lugha ya kingereza kwasababu wewe na mkapa mlikuwa watu wa kimataifa hatutegemei kwa miaka mingi ijayo kiongozi wetu kuandika kitabu chake kwa lugha hiyo.
Wata Ku saanane hayo mambo ya kufikiria elimu zaoAtaandikiwa. Si hata ile kitu aliandikiwa!
Akikutajia nchi alizotembelea utazimiaMh kikwete tunajua tunajua kitabu utakachoandika kitakuwa kwa lugha ya kingereza kwasababu wewe na mkapa mlikuwa watu wa kimataifa hatutegemei kwa miaka mingi ijayo kiongozi wetu kuandika kitabu chake kwa lugha hiyo.
Dizatesheni au nini?Ataandikiwa. Si hata ile kitu aliandikiwa!