Meitinyiku L. Robinson
JF-Expert Member
- Aug 29, 2011
- 412
- 90
Ni siku ya leo majira ya saa 5 asubuhi katika maeneo ya Uzunguni aishipo Mhe Jaji wa Mahakama Kuu na vile vile ndiye Jaji Mfawidhi Mkoani Arusha, palikuwa nanmtu akikata mti bila tahadhari yeyote ile kujulisha watu kuwa kuna kazi hiyo inaendelea ndipo kijana mmoja mwendesha toyo anayepaki maeneo ya Mount Meru Hotel alipokuwa akipita maskini bila kujua lolote mti ukamwangukia na kufa papo hapo
Hili lilikuwa likifanyika nyumbani kwa Jaji kama mtu au watu makini palitakiwa kuwa na tahadhari yeyote Cha kusikitisha zaidi pia palikuwa na magari mengi yamepaki nyumbani kwa Jaji ambayo at lst wangeonesha utu kumkimbiza Kijana huyo hospitali ila jamaa wakakaa kimya. Wananchi walitaka kuchoma nyumba moto wakatulizwa na Mkuu wa Mkoa na Mkuu wa Wilaya ni kijana wa miaka 20 tu aliyekuwa akiangaika kutafuta riziki yake kwa nguvu zake mpole, mnyenyekevu dogo ni kila kitu wazee
Sasa Mhe Jaji anatuambiaje wakaazi wa Arusha Mosi juu ya Occupiers Liability lakini pili wazazi wa hawa kijana ambao almost 85% ya maisha yao kijana ndo alikuwa anahusika please Madame Judge tell us something inauma sana!!
Rest in Peace BENJAMIN binafsi ntakukumbuka sana!!!
Hili lilikuwa likifanyika nyumbani kwa Jaji kama mtu au watu makini palitakiwa kuwa na tahadhari yeyote Cha kusikitisha zaidi pia palikuwa na magari mengi yamepaki nyumbani kwa Jaji ambayo at lst wangeonesha utu kumkimbiza Kijana huyo hospitali ila jamaa wakakaa kimya. Wananchi walitaka kuchoma nyumba moto wakatulizwa na Mkuu wa Mkoa na Mkuu wa Wilaya ni kijana wa miaka 20 tu aliyekuwa akiangaika kutafuta riziki yake kwa nguvu zake mpole, mnyenyekevu dogo ni kila kitu wazee
Sasa Mhe Jaji anatuambiaje wakaazi wa Arusha Mosi juu ya Occupiers Liability lakini pili wazazi wa hawa kijana ambao almost 85% ya maisha yao kijana ndo alikuwa anahusika please Madame Judge tell us something inauma sana!!
Rest in Peace BENJAMIN binafsi ntakukumbuka sana!!!