Mbaha JF-Expert Member Nov 26, 2010 697 73 May 28, 2014 #22 Uongozi wa shule uko wapi? Ua umeshawekwa mfukoni?
Nyani Ngabu Platinum Member May 15, 2006 92,216 113,519 May 28, 2014 #23 Petro E. Mselewa said: Kuleta hapa kama habari Mkuu Sangarara Click to expand... Umeileta hii habari hapa kwa mtindo wa swali. Sasa unategemea nani akujibu? Umeshindwa kumpata huyo Halima umwulize hilo swali lako?
Petro E. Mselewa said: Kuleta hapa kama habari Mkuu Sangarara Click to expand... Umeileta hii habari hapa kwa mtindo wa swali. Sasa unategemea nani akujibu? Umeshindwa kumpata huyo Halima umwulize hilo swali lako?
Petro E. Mselewa JF-Expert Member Dec 27, 2012 10,195 25,513 May 28, 2014 Thread starter #24 Nyani Ngabu said: Umeileta hii habari hapa kwa mtindo wa swali. Sasa unategemea nani akujibu? Umeshindwa kumpata huyo Halima umwulize hilo swali lako? Click to expand... Mkuu,JF ni chanzo cha habari kinachoaminika Tanzania. Na Halima Mdee ni mwanachama humu. Atalipata swali na kulijibu Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Nyani Ngabu said: Umeileta hii habari hapa kwa mtindo wa swali. Sasa unategemea nani akujibu? Umeshindwa kumpata huyo Halima umwulize hilo swali lako? Click to expand... Mkuu,JF ni chanzo cha habari kinachoaminika Tanzania. Na Halima Mdee ni mwanachama humu. Atalipata swali na kulijibu