assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,904
- 4,050
kwenye taarifa ya habari ya itv 2 uck huu mh halima mdee pamoja na diwani wa eneo hilo amewaambia mafundi gereji eneo la tegeta wakeshe na hakuna kuondoka mpka serikali itakapowaona mbunge huyu anaenda kinyume na agizo la serikali lililoagiza wananchi hao kuondoka