Mh Freeman Mbowe, jiuzulu uwenyekiti wa chama

Amanikwenu

Senior Member
Dec 1, 2009
187
0
Napendekeza Mwenyekiti Mbowe ajiuzulu uwenyekiti wa chama ili kutoa nafasi kwa Dr. W Slaa kuwa Mwenyekiti mpya wa CHADEMA ili aweze kuijenga CHADEMA ipasavyo toka ngazi ya chini kabisa.

Pia hii itakuwa ni heshima kubwa kwa Dr. Slaa kutokana na mchango wake mkubwa alioutoa katika kukikuza chama chao na hatimaye kufika hapa walipofika. Mchango wa Dr. Slaa katika uchaguzi wa mwaka huu hautasahaulika kamwe na utaingia katika historia ya nchi hii.
 
Napendekeza Mwenyekiti Mbowe ajiuzulu uwenyekiti wa chama ili kutoa nafasi kwa Dr. W Slaa kuwa Mwenyekiti mpya wa CHADEMA ili aweze kuijenga CHADEMA ipasavyo toka ngazi ya chini kabisa. Pia hii itakuwa ni heshima kubwa kwa Dr. Slaa kutokana na mchango wake mkubwa alioutoa katika kukikuza chama chao na hatimaye kufika hapa walipofika. Mchango wa Dr. Slaa katika uchaguzi wa mwaka huu hautasahaulika kamwe na utaingia katika historia ya nchi hii.
Sidhani kuwa ni lazima awe M/kiti ndo ajenge. kaza buti twende!

Ila wewe nina wasiwasi ni mmoja wa waliotumwa kuvuruga chama. Chadema wanaoutaratibu wao. Slaa bado katibu Mkuu, Mbowe mwenyekiti waacheni tu, tuangalie kazi tu.
 
Napendekeza Mwenyekiti Mbowe ajiuzulu uwenyekiti wa chama ili kutoa nafasi kwa Dr. W Slaa kuwa Mwenyekiti mpya wa CHADEMA ili aweze kuijenga CHADEMA ipasavyo toka ngazi ya chini kabisa. Pia hii itakuwa ni heshima kubwa kwa Dr. Slaa kutokana na mchango wake mkubwa alioutoa katika kukikuza chama chao na hatimaye kufika hapa walipofika. Mchango wa Dr. Slaa katika uchaguzi wa mwaka huu hautasahaulika kamwe na utaingia katika historia ya nchi hii.

Hivi inawezekanaje mtu unakuwa senior member kwenye Forum ya wasomi halafu unaandika pumba. Tunakubali mawazo ya kujenga na siyo ya kuboboa. Ungetakiwa uwe Dodoma kumpigia Chenge Kampeni hili mkimalize CCM kama mlivyofanya hawamu ya kwanza kwenye uteuzi wa mawaziri.
 
Napendekeza Mwenyekiti Mbowe ajiuzulu uwenyekiti wa chama ili kutoa nafasi kwa Dr. W Slaa kuwa Mwenyekiti mpya wa CHADEMA ili aweze kuijenga CHADEMA ipasavyo toka ngazi ya chini kabisa. Pia hii itakuwa ni heshima kubwa kwa Dr. Slaa kutokana na mchango wake mkubwa alioutoa katika kukikuza chama chao na hatimaye kufika hapa walipofika. Mchango wa Dr. Slaa katika uchaguzi wa mwaka huu hautasahaulika kamwe na utaingia katika historia ya nchi hii.

Mkuu unaturudisha nyuma kabisa.
Hili lilishajadiliwa sana kipindi kile kabla ya uchaguzi.
 
Napendekeza Mwenyekiti Mbowe ajiuzulu uwenyekiti wa chama ili kutoa nafasi kwa Dr. W Slaa kuwa Mwenyekiti mpya wa CHADEMA ili aweze kuijenga CHADEMA ipasavyo toka ngazi ya chini kabisa. Pia hii itakuwa ni heshima kubwa kwa Dr. Slaa kutokana na mchango wake mkubwa alioutoa katika kukikuza chama chao na hatimaye kufika hapa walipofika. Mchango wa Dr. Slaa katika uchaguzi wa mwaka huu hautasahaulika kamwe na utaingia katika historia ya nchi hii.

..ni *-*-* tu ndio wanaweza kuwa na maoni km haya!
 
napendekeza mwenyekiti mbowe ajiuzulu uwenyekiti wa chama ili kutoa nafasi kwa dr. W slaa kuwa mwenyekiti mpya wa chadema ili aweze kuijenga chadema ipasavyo toka ngazi ya chini kabisa. Pia hii itakuwa ni heshima kubwa kwa dr. Slaa kutokana na mchango wake mkubwa alioutoa katika kukikuza chama chao na hatimaye kufika hapa walipofika. Mchango wa dr. Slaa katika uchaguzi wa mwaka huu hautasahaulika kamwe na utaingia katika historia ya nchi hii.

mbona sioni haoja za kudai katiba na tume huru ya uchaguzi badala yake mnaleta za umbea mtupu!!! Tutaweza kweli 2015 kufanya mabadiliko kwa umbea kuwa juu kiasi hiki?
 
ilo nalo neno mi nazani anafaa sana akitoka mana hajajiamini akiwa kama mwnykiti akaamua kurudi jimboni ivo mbowe hana msimamo kabisaaaa babangu>>>
 
Huyu naye ni mwana JF na ameteleza anapaswa kusamehewa, Cha msingi ni kwamba wanaharakati wote wanapaswa wasijengwe kwenye misingi ya madaraka wala uroho wa Madaraka. Kutaka madaraka ni misingi ya (ubepari,u-ccm, na uchenge) ambayo huua uwanaharakati. Hata Muheshimiwa Mbowe/Zitto anapaswa kuliangalia hili. Wakati mwingine position fulani zinaweza kudhoofisha utekelezaji wa jambo fulani kwa mwanaharakati.
 
ilo nalo neno mi nazani anafaa sana akitoka mana hajajiamini akiwa kama mwnykiti akaamua kurudi jimboni ivo mbowe hana msimamo kabisaaaa babangu>>>

Wewe PAS, haufai kuchangia hii Forum maana ni pumba tu unachangia, ningependa kujua helimu yako, isije ikawa kama Elimu za wajumbe wa CCM.
 
Napendekeza Mwenyekiti Mbowe ajiuzulu uwenyekiti wa chama ili kutoa nafasi kwa Dr. W Slaa kuwa Mwenyekiti mpya wa CHADEMA ili aweze kuijenga CHADEMA ipasavyo toka ngazi ya chini kabisa. Pia hii itakuwa ni heshima kubwa kwa Dr. Slaa kutokana na mchango wake mkubwa alioutoa katika kukikuza chama chao na hatimaye kufika hapa walipofika. Mchango wa Dr. Slaa katika uchaguzi wa mwaka huu hautasahaulika kamwe na utaingia katika historia ya nchi hii.
Mbona Katibu ananafasi ya kipekee katika Ujenzi wa chama.
 
Mwenyekiti kawaida sio mtendaji kwa hiyo Dr Slaa yuko kwenye nafai nzuri ya kujenga chama kama Katibu
 
Hivi muliambiwa kuwa ni nafasi ya cheo inayojenga chama au ni ushawishi wa mtu mbele ya jamii?
Usianze kuvuruga chama..consult with your Digestive system before coming here!
 
Katibu ndo haswaa mjenzi wa chama, kiukweli dr. Katika nafasi ya ukatibu anaitendea haki sana na ndio maana hata maamuzi mbalimbali yanafanyiwa research ya nguvu ndani ya chadema, ndg hebu angalia ccm katibu kapwaya yaani ana act with no focus.
 
wewe pas, haufai kuchangia hii forum maana ni pumba tu unachangia, ningependa kujua helimu yako, isije ikawa kama elimu za wajumbe wa ccm.

we unazani elimu ndio kigezo cha mtu???
Ila napenda kujb sulual ulilouliza mimi nina elimu ya kunitosha kuishi vizuri hapa mjini bila shida
 
we unazani elimu ndio kigezo cha mtu???
Ila napenda kujb sulual ulilouliza mimi nina elimu ya kunitosha kuishi vizuri hapa mjini bila shida

Kuishi vizuri ungeonyesha njaa zako waziwazi namna hii, kumeliwa ndugu yangu, waliwahi wenzako kina Kibonde na Michuzi kuonyesha njaa zao mapema, subiria 2015
 
we unazani elimu ndio kigezo cha mtu???
Ila napenda kujb sulual ulilouliza mimi nina elimu ya kunitosha kuishi vizuri hapa mjini bila shida

PAS, nimeshakwambia na ninarudia tena, wewe ni mbomoaji sio mjengaji na huifahamu Chadema, siasa, na wanachadema, wewe ni CCM 100%, na umetumwa kuvuruga kama Mjumbe mmoja alivyosema, heshima kwake.

Hivi kipimo cha M/kiti bora na frequency yake ya kugombea uraisi? Mbowe binafsi namheshimu sana na nikiongozi mwelevu na makini, wakati Dr. Slaa anapitishwa kugombea Uraisi, Mbowe (Mh. Mwenyekiti/Mbunge) alisema Chadema kimefanya utafiti wa kisayansi na kugundua kuwa Dr. Slaa ndie anayehitajika sana na watanzania (ni hii ni kweli sote tumeona), hivyo hakuwa na budi ya kurudi jimboni na kumwaacha Dr. aendelee, na hii ndio demokrasia ya kweli.

Ombi langu kwako wewe PAS
Toa bendera yetu mapema iwezekanavyo.
 
ilo nalo neno mi nazani anafaa sana akitoka mana hajajiamini akiwa kama mwnykiti akaamua kurudi jimboni ivo mbowe hana msimamo kabisaaaa babangu>>>

hahaaaa hebu ni PM kwanza nikuambie kitu
 
PAS, nimeshakwambia na ninarudia tena, wewe ni mbomoaji sio mjengaji na huifahamu Chadema, siasa, na wanachadema, wewe ni CCM 100%, na umetumwa kuvuruga kama Mjumbe mmoja alivyosema, heshima kwake.

Hivi kipimo cha M/kiti bora na frequency yake ya kugombea uraisi? Mbowe binafsi namheshimu sana na nikiongozi mwelevu na makini, wakati Dr. Slaa anapitishwa kugombea Uraisi, Mbowe (Mh. Mwenyekiti/Mbunge) alisema Chadema kimefanya utafiti wa kisayansi na kugundua kuwa Dr. Slaa ndie anayehitajika sana na watanzania (ni hii ni kweli sote tumeona), hivyo hakuwa na budi ya kurudi jimboni na kumwaacha Dr. aendelee, na hii ndio demokrasia ya kweli.

Ombi langu kwako wewe PAS
Toa bendera yetu mapema iwezekanavyo.

hahaaaa msameheni jamani
 
we unazani elimu ndio kigezo cha mtu???
Ila napenda kujb sulual ulilouliza mimi nina elimu ya kunitosha kuishi vizuri hapa mjini bila shida

huyo pas nadhani ni ndugu na malaria sugu, tumeingiliwa hapa
 
PAS, nimeshakwambia na ninarudia tena, wewe ni mbomoaji sio mjengaji na huifahamu Chadema, siasa, na wanachadema, wewe ni CCM 100%, na umetumwa kuvuruga kama Mjumbe mmoja alivyosema, heshima kwake.

Hivi kipimo cha M/kiti bora na frequency yake ya kugombea uraisi? Mbowe binafsi namheshimu sana na nikiongozi mwelevu na makini, wakati Dr. Slaa anapitishwa kugombea Uraisi, Mbowe (Mh. Mwenyekiti/Mbunge) alisema Chadema kimefanya utafiti wa kisayansi na kugundua kuwa Dr. Slaa ndie anayehitajika sana na watanzania (ni hii ni kweli sote tumeona), hivyo hakuwa na budi ya kurudi jimboni na kumwaacha Dr. aendelee, na hii ndio demokrasia ya kweli.

Ombi langu kwako wewe PAS
Toa bendera yetu mapema iwezekanavyo.

siitoi wala nini??
mimi dam dam yan nataman tungekua tunaweka open profile ze2 msingenitukana

 
Back
Top Bottom