Mh. Freeman Mbowe awe Kiongozi Mkuu wa upinzani bungeni

Luteni

JF-Expert Member
Jan 9, 2010
2,274
301
Kulingana na kanuni za Bunge chama kinaweza kuunda serikali kivuli endapo angalau kitakuwa na wabunge wasiopungua 21 na kiwe kimepata angalau (12%)? ya kura za urais (ready to be corrected).

Kwa mantiki hiyo hadi sasa Chadema kina wabunge 22 na kimepata zaidi ya 26% ya kura za urais hivyo kukifanya kiwe na uwezo wa kuunda serikali kivuli bila kushirikisha vyama vingine.

Mbali ya Chadema kuwa na wabunge 22 inatarajia kuongeza viti hivyo kupitia viti maalum (women special seats) ambazo zitakuwa kama ifuatavyo (just an estimate).

Total special seats is around 75 nikichukulia idadi ya 2005 zinagawanywa kwa uwiano (propotional representation) wa jumla ya kura za ubunge. In order to qualify for a special seat a political party need to obtain at least 5% of all valid votes for parliamentary election. Ni vyama vitatu tu vime-qualify.

Hapa nitatumia propotional (ratio) ya kura za urais ambazo hazitofautiani sana na za ubunge:

75 seats: 5.1: 2.1: 0.7 for CCM, CDM and CUF respectively, utaona kuwa Chadema kitapata at least 20 more special seats na kufanya jumla kiwe na wabunge 22 + 20 = 42 idadi ambayo inakiruhusu kuunda serikali kivuli.

Kwa hiyo basi sanjari na Chadema kuendeleza mapambano ya kupinga matokeo kisisahau jukumu lake kuu jingine (alternative cource) ambalo ni kuwa chama kikuu cha upinzani kitu ambacho hakuna mtu atapinga kwa hilo.

Ili kumuenzi Mwenyekiti wake Mh. Freeman Mbowe na kuiweka Chadema kwenye ramani ya dunia na masikio ya wengi napendekeza awe kiongozi mkuu wa upinzani bungeni, naamini ataweza kuleta changamoto ya kutosha ndani na nje ya bunge kuelekea uchaguzi wa 2015.
 
Binafsi ningependa wapinzani wote washirikiane au waungane kuunda kambi ya upinzani. Wapinzani wote wakiungana Bungeni na kujenga kambi moja ya upinzani, angalau watakuwa na sauti kubwa ambayo inaweza kupiga kelele. Najua hawafiki theluthi, lakini wakiungana angalau wanaweza kuipeleka mbio serikali na wabunge wa CCM ambao ni akina NDIYO Mzee.

Tukumbuke kwamba kuna wabunge kibao wamerudi mjengoni kwa bahati na wote watakuambia kwamba wananchi wamewapa ukweli wao kwamba walishindwa kujipambanua na ufisadi. Wabunge wengi ambao wamerudi kwa bahati ni wale ambao wako kwenye majimbo ya mjini na sijui kama watakubali kuingia kichwa kichwa kufuata msimamo wa chama. Nina uhakika pale watakapoona kuna utata tusije kushangaa kuwaona wakikwepa kupiga kura kwenye maswala muhimu. Pamoja na kuweka mbele maslahi ya chama chao, lakini hakuna ambaye anataka asirudi mjengoni hapo 2015 au aje aishie kuzomewa na wapiga kura.

Mbunge wa Kahama (James Lembeli) kabla ya kasheshe ya Zitto hakuwa akiongea lolote kuhusu ufisadi. Baada ya hapo aliporudi jimboni kwake alikumbana na zomea zomea isiyo ya kawaida. Baada ya hapo alianza kujipambanua kwamba nae ni mpiganaji. Akina Mwakyembe wanajua wanatoka majimbo ya watu wa aina gani na wanajua ndani ya CCM wamekalia kuti kavu, pindi likija swala sensitive ambalo liko kinyume na matakwa ya wananchi, nina hakika wanaweza kukwepa kupiga kura ili wasije wakaingia kwenye black book ya wapiga kura.

Wengi najua tuna mashaka na uswahiba wa CCM na CUF [kupitia kwenye 'makubaliano' ya Jussa na Januari], lakini kama CUF inataka kujijenga Bara inabidi iwe makini sana na huo uswahiba. Hoja ya ufisadi, Prof. Lipumba ameitumia sana kwenye kampeni zake pamoja na mapungufu mengine ya kisera ambayo yanaenda kinyume sana na sera za CCM.

Bunge hili litakuwa na wapinzani wengi, nadhani wanaweza kufika around 100. Ukijumlisha na wabunge wa CCM ambao wanabisha kimya kimya kwa kukwepa kupiga kura, upinzani unaweza kutoa msukumo kwenye kuisimamia serikali kama wote wataungana na kuunda kambi moja ya upinzani.
 
Binafsi ningependa wapinzani wote washirikiane au waungane kuunda kambi ya upinzani. Wapinzani wote wakiungana Bungeni na kujenga kambi moja ya upinzani, angalau watakuwa na sauti kubwa ambayo inaweza kupiga kelele. Najua hawafiki theluthi, lakini wakiungana angalau wanaweza kuipeleka mbio serikali na wabunge wa CCM ambao ni akina NDIYO Mzee.

Tukumbuke kwamba kuna wabunge kibao wamerudi mjengoni kwa bahati na wote watakuambia kwamba wananchi wamewapa ukweli wao kwamba walishindwa kujipambanua na ufisadi. Wabunge wengi ambao wamerudi kwa bahati ni wale ambao wako kwenye majimbo ya mjini na sijui kama watakubali kuingia kichwa kichwa kufuata msimamo wa chama. Nina uhakika pale watakapoona kuna utata tusije kushangaa kuwaona wakikwepa kupiga kura kwenye maswala muhimu. Pamoja na kuweka mbele maslahi ya chama chao, lakini hakuna ambaye anataka asirudi mjengoni hapo 2015 au aje aishie kuzomewa na wapiga kura.

Mbunge wa Kahama (James Lembeli) kabla ya kasheshe ya Zitto hakuwa akiongea lolote kuhusu ufisadi. Baada ya hapo aliporudi jimboni kwake alikumbana na zomea zomea isiyo ya kawaida. Baada ya hapo alianza kujipambanua kwamba nae ni mpiganaji. Akina Mwakyembe wanajua wanatoka majimbo ya watu wa aina gani na wanajua ndani ya CCM wamekalia kuti kavu, pindi likija swala sensitive ambalo liko kinyume na matakwa ya wananchi, nina hakika wanaweza kukwepa kupiga kura ili wasije wakaingia kwenye black book ya wapiga kura.

Wengi najua tuna mashaka na uswahiba wa CCM na CUF [kupitia kwenye 'makubaliano' ya Jussa na Januari], lakini kama CUF inataka kujijenga Bara inabidi iwe makini sana na huo uswahiba. Hoja ya ufisadi, Prof. Lipumba ameitumia sana kwenye kampeni zake pamoja na mapungufu mengine ya kisera ambayo yanaenda kinyume sana na sera za CCM.

Bunge hili litakuwa na wapinzani wengi, nadhani wanaweza kufika around 100. Ukijumlisha na wabunge wa CCM ambao wanabisha kimya kimya kwa kukwepa kupiga kura, upinzani unaweza kutoa msukumo kwenye kuisimamia serikali kama wote wataungana na kuunda kambi moja ya upinzani.
Nakubakiana na wewe kabisa kwamba wapinzani waungane bungeni, lakini nina wasiwasi na muundo wa muungano wenyewe kwa sababu wote tunaona hali ilivyo naweza kusema wazi kuna vyama vimejiainisha viko upande gani tofauti na kipindi kilichopita ambapo rangi zao halisi zilikuwa vinafichwa fichwa.

Chadema kilishasema wazi kuwa kitaungana na chama chochote kilicho makini tu. Unategemea nini kama hawakusaidiana wakati wa kampeni, chukulia mfano wa Mrema na Mbatia kutishia kwenda mahakamani kuishita Chadema. Kama itatokea hivyo basi utakuwa ni ushirikiano wa Tommy na Jerry kunywa maziwa kwenye chungu kimoja ila baada ya maziwa kwisha wataanza kuwindana.
 
Kulingana na kanuni za Bunge chama kinaweza kuunda serikali kivuli endapo angalau kitakuwa na wabunge wasiopungua 21 na kiwe kimepata angalau (12%)? ya kura za urais (ready to be corrected).

Kwa mantiki hiyo hadi sasa Chadema kina wabunge 22 na kimepata zaidi ya 26% ya kura za urais hivyo kukifanya kiwe na uwezo wa kuunda serikali kivuli bila kushirikisha vyama vingine.
.

Hivi unavyosema kuwa Chadema imepata wabunge 22 una uhakika???


  1. Halima James Mdee -Kawe/Chadema
  2. Tundu Lissu - Singida Mashariki/Chadema
  3. Mustapha Quorro Akonaay- Mbulu/Chadema
  4. Israel Yohana -Karatu/Chadema
  5. John Mnyika -Ubungo/Chadema
  6. Silinde David -Mbozi Magharibi/Chadema
  7. Salvatory Naluyaga Machemuli-Ukerewe/Chadema
  8. Ole Sambu -Arumeru Magharibi/Chadema
  9. Joseph Mbilinyi -Mbeya Mjini/Chadema
  10. Philemon Ndesamburo Kiwelu-Moshi Mjini/Chadema
  11. Dk Antony Mbasa -Biharamulo Magharibi/Chadema
  12. Joseph Selasini -Rombo/Chadema
  13. Hezekiah Wenje -Nyamagana/Chadema
  14. Peter Msigwa -Iringa Mjini/Chadema
  15. Freeman Mbowe -Hai/Chadema
  16. Vincent Nyerere -Musoma Mjini/Chadema
  17. Godbless Lema -Arusha Mjini/Chadema
  18. Zitto Kabwe/C -Kigoma Kaskazini/Chadema
  19. Hayness Samson -Ilemela/Chadema
  20. John Shibuda -Maswa Magharibi/Chadema
  21. Meshack Opulukwa -Meatu/Chadema
  22. Sylvester Kasulimbayi Mhoja-Maswa Mashariki/Chadema
  23. Regia Mtema / Chadema
  24. Prof Mlambiti /Chadema
 
Hivi unavyosema kuwa Chadema imepata wabunge 22 una uhakika???


  1. Halima James Mdee -Kawe/Chadema
  2. Tundu Lissu - Singida Mashariki/Chadema
  3. Mustapha Quorro Akonaay- Mbulu/Chadema
  4. Israel Yohana -Karatu/Chadema
  5. John Mnyika -Ubungo/Chadema
  6. Silinde David -Mbozi Magharibi/Chadema
  7. Salvatory Naluyaga Machemuli-Ukerewe/Chadema
  8. Ole Sambu -Arumeru Magharibi/Chadema
  9. Joseph Mbilinyi -Mbeya Mjini/Chadema
  10. Philemon Ndesamburo Kiwelu-Moshi Mjini/Chadema
  11. Dk Antony Mbasa -Biharamulo Magharibi/Chadema
  12. Joseph Selasini -Rombo/Chadema
  13. Hezekiah Wenje -Nyamagana/Chadema
  14. Peter Msigwa -Iringa Mjini/Chadema
  15. Freeman Mbowe -Hai/Chadema
  16. Vincent Nyerere -Musoma Mjini/Chadema
  17. Godbless Lema -Arusha Mjini/Chadema
  18. Zitto Kabwe/C -Kigoma Kaskazini/Chadema
  19. Hayness Samson -Ilemela/Chadema
  20. John Shibuda -Maswa Magharibi/Chadema
  21. Meshack Opulukwa -Meatu/Chadema
  22. Sylvester Kasulimbayi Mhoja-Maswa Mashariki/Chadema
  23. Regia Mtema / Chadema
  24. Prof Mlambiti /Chadema
Sorry mahesabu yangu yako nyuma kidogo nimeangalia kwenye web ya NEC ambayo hadi sasa ina onyesha wabunge wa Chadema ni 22 kumbe wamefikia 24 lakini hata hivyo nilisema ready to be corrected. Sina uhakika na hao wawili wa mwisho Regia Mtema na Prof. Mlambiti.
 
Ila mbowe ameniangusha kwa kushindwa kuwashawishi wana Hai wamchague Dr.
 
Kulingana na kanuni za Bunge chama kinaweza kuunda serikali kivuli endapo angalau kitakuwa na wabunge wasiopungua 21 na kiwe kimepata angalau (12%)? ya kura za urais (ready to be corrected).

Kwa mantiki hiyo hadi sasa Chadema kina wabunge 22 na kimepata zaidi ya 26% ya kura za urais hivyo kukifanya kiwe na uwezo wa kuunda serikali kivuli bila kushirikisha vyama vingine.

Mbali ya Chadema kuwa na wabunge 22 inatarajia kuongeza viti hivyo kupitia viti maalum (women special seats) ambazo zitakuwa kama ifuatavyo (just an estimate).

Total special seats is around 75 nikichukulia idadi ya 2005 zinagawanywa kwa uwiano (propotional representation) wa jumla ya kura za ubunge. In order to qualify for a special seat a political party need to obtain at least 5% of all valid votes for parliamentary election. Ni vyama vitatu tu vime-qualify.

Hapa nitatumia propotional (ratio) ya kura za urais ambazo hazitofautiani sana na za ubunge:

75 seats: 5.1: 2.1: 0.7 for CCM, CDM and CUF respectively, utaona kuwa Chadema kitapata at least 20 more special seats na kufanya jumla kiwe na wabunge 22 + 20 = 42 idadi ambayo inakiruhusu kuunda serikali kivuli.

Kwa hiyo basi sanjari na Chadema kuendeleza mapambano ya kupinga matokeo kisisahau jukumu lake kuu jingine (alternative cource) ambalo ni kuwa chama kikuu cha upinzani kitu ambacho hakuna mtu atapinga kwa hilo.

Ili kumuenzi Mwenyekiti wake Mh. Freeman Mbowe na kuiweka Chadema kwenye ramani ya dunia na masikio ya wengi napendekeza awe kiongozi mkuu wa upinzani bungeni, naamini ataweza kuleta changamoto ya kutosha ndani na nje ya bunge kuelekea uchaguzi wa 2015.

Hapo kwenye nyekundu, ni 12% ya idadi ya wabunge wote mjengoni.
 
Hivi unavyosema kuwa Chadema imepata wabunge 22 una uhakika???


  1. Halima James Mdee -Kawe/Chadema
  2. Tundu Lissu - Singida Mashariki/Chadema
  3. Mustapha Quorro Akonaay- Mbulu/Chadema
  4. Israel Yohana -Karatu/Chadema
  5. John Mnyika -Ubungo/Chadema
  6. Silinde David -Mbozi Magharibi/Chadema
  7. Salvatory Naluyaga Machemuli-Ukerewe/Chadema
  8. Ole Sambu -Arumeru Magharibi/Chadema
  9. Joseph Mbilinyi -Mbeya Mjini/Chadema
  10. Philemon Ndesamburo Kiwelu-Moshi Mjini/Chadema
  11. Dk Antony Mbasa -Biharamulo Magharibi/Chadema
  12. Joseph Selasini -Rombo/Chadema
  13. Hezekiah Wenje -Nyamagana/Chadema
  14. Peter Msigwa -Iringa Mjini/Chadema
  15. Freeman Mbowe -Hai/Chadema
  16. Vincent Nyerere -Musoma Mjini/Chadema
  17. Godbless Lema -Arusha Mjini/Chadema
  18. Zitto Kabwe/C -Kigoma Kaskazini/Chadema
  19. Hayness Samson -Ilemela/Chadema
  20. John Shibuda -Maswa Magharibi/Chadema
  21. Meshack Opulukwa -Meatu/Chadema
  22. Sylvester Kasulimbayi Mhoja-Maswa Mashariki/Chadema
  23. Regia Mtema / Chadema
  24. Prof Mlambiti /Chadema

Hapo toa Ole Kisambu , toa Mtema na Prof Mlambiti majimbo yao yalichakachuliwa kwa sana.
 
Hivi unavyosema kuwa Chadema imepata wabunge 22 una uhakika???



  1. Halima James Mdee -Kawe/Chadema
  2. Tundu Lissu - Singida Mashariki/Chadema
  3. Mustapha Quorro Akonaay- Mbulu/Chadema
  4. Israel Yohana -Karatu/Chadema
  5. John Mnyika -Ubungo/Chadema
  6. Silinde David -Mbozi Magharibi/Chadema
  7. Salvatory Naluyaga Machemuli-Ukerewe/Chadema
  8. Ole Sambu -Arumeru Magharibi/Chadema
  9. Joseph Mbilinyi -Mbeya Mjini/Chadema
  10. Philemon Ndesamburo Kiwelu-Moshi Mjini/Chadema
  11. Dk Antony Mbasa -Biharamulo Magharibi/Chadema
  12. Joseph Selasini -Rombo/Chadema
  13. Hezekiah Wenje -Nyamagana/Chadema
  14. Peter Msigwa -Iringa Mjini/Chadema
  15. Freeman Mbowe -Hai/Chadema
  16. Vincent Nyerere -Musoma Mjini/Chadema
  17. Godbless Lema -Arusha Mjini/Chadema
  18. Zitto Kabwe/C -Kigoma Kaskazini/Chadema
  19. Hayness Samson -Ilemela/Chadema
  20. John Shibuda -Maswa Magharibi/Chadema
  21. Meshack Opulukwa -Meatu/Chadema
  22. Sylvester Kasulimbayi Mhoja-Maswa Mashariki/Chadema
  23. Regia Mtema / Chadema
  24. Prof Mlambiti /Chadema
Ni 22 kwani huyo wa Arumeru hakupita pamoja na dada Regia Mtema.
 
Ila mbowe ameniangusha kwa kushindwa kuwashawishi wana Hai wamchague Dr.
Hata alivyogombea mwaka 2005 walimchakachua na ikaonyesha kuwa hata na yeye eti hakushinda hapo Hai. Huo ni ushahidi wazi kuwa wizi wa kura wa CCM hauna hata aibu.
 
Hapo kwenye nyekundu, ni 12% ya idadi ya wabunge wote mjengoni.
Thanx kama ni hivyo basi Chadema qualifies coz 12% ya wabunge 323 ni approx. 38 na Chadema ina uhakika wa kupata wabunge zaidi ya 40 in total including special seats.
 
Ila mbowe ameniangusha kwa kushindwa kuwashawishi wana Hai wamchague Dr.

Huyu Kilemi katumwa na mafisadi aanze kulipumua mabomu waliyotega wachakachuaji wa UWT wa kugombanisha viongozi wa Chama. UWT walihakikisha Slaa anapewa kura kidogo kwa Mbowe ili Slaa aanze kumuona kama kikulacho! Mbinu yao imeisha julikana kwa kuwa kura walizokuwa wanamgawia DK. Slaa zilikuwa na makusudi
1. Kumgonganisha na Viongozi wenzake kwa kumuonyesha kuwa hawakusaidia
2. Kumpunguziaq nguvu ili CHADEMA kionekane kuwa hakikuwa chama tishio kwenye uchaguzi
3. kumfanya aonekane ameshindwa
 
CUF sina imani nayo japo Keil naungana nawe kwa asilimia mia.

Ni wazi kuwa Mbowe atakuwa ndo kamanda wetu hili halina ubishi hata kidogo. napendekeza wabunge wa chadema wapewe semina maalumu ya jinsi ya kutenganisha umimi na utaifa/jimbo. Semina hii inahitajika mno ili alichokuwa anakizungumza Dr. Slaa walau tuoneshe kwa vitendo. Itasaidia sana huko baadae hasa wajue kuwa CCM inakwenda kujipanga na pia wanategemewa sana na walio wachagua.

Ndugu yangu Zitto, pole na masaibu yaliokupata.... tuendako naomba sana sana ucheze kitimu otherwise we will loose you in the battle to 2015. i am thinking of you.
 
Siungi mkono Mbowe kuwa kiongozi wa upinzani, nadhani hiyo itaipa nguvu CCm kusema kwamba wapinzani ni wapenda vurugu na hooligans... Kumbukeni mbowe ana rekodi nzuri sana ya violence na short temper... Pia kwa watu wenye busara ndani ya chadema wanaelewa fuse yake fupi na ego imeikost chadema kwa kushindwa kuungana na wapinzani wengine na vilevile kuharibu harmony wakati ule wa uchaguzi wa chadema

I would advice wisdom i-prevail na si ushabiki

Mbowe hafai kuwa kiongozi wa upinzani bungeni...
 
Siungi mkono Mbowe kuwa kiongozi wa upinzani, nadhani hiyo itaipa nguvu CCm kusema kwamba wapinzani ni wapenda vurugu na hooligans... Kumbukeni mbowe ana rekodi nzuri sana ya violence na short temper... Pia kwa watu wenye busara ndani ya chadema wanaelewa fuse yake fupi na ego imeikost chadema kwa kushindwa kuungana na wapinzani wengine na vilevile kuharibu harmony wakati ule wa uchaguzi wa chadema

I would advice wisdom i-prevail na si ushabiki

Mbowe hafai kuwa kiongozi wa upinzani bungeni...
Tuache ushabiki Mbowe ndiye kaifikisha Chadema hapa ilipo angekuwa hafai wakati huu ungekuwa unaongelea APPT na si Chadema. CCM inataka watu kama kina Odinga Oginga na Morgan Tsvangirai, ukiwa mtu wa Yes bwana kama kina Cheyo watakutia vidole vya macho.
 
Tuache ushabiki Mbowe ndiye kaifikisha Chadema hapa ilipo angekuwa hafai wakati huu ungekuwa unaongelea APPT na si Chadema. CCM inataka watu kama kina Odinga Oginga na Morgan Tsvangirai, ukiwa mtu wa Yes bwana kama kina Cheyo watakutia vidole vya macho.
You miss my point, kila mtu ana-peak yake mkuu... bsi turudi nyuma zaidi kwa akina mtei kama ndio hivyo...

Kila mtu ana peak, and thats it, kumbuka hata timu ikipanda daraja huasajili watu wa daraja la kwanza kuhimili mikiki na kuepusha hatari ya kushuka daraja, kama umeona kila chama cha upinzani tanzania ni almost one tem opposition party, we have to break the duck

umeshawahi kuimagine mbowe kiongozi wa upinzani na anna kilango spika??

Mbowe hafai kuwa kiongozi wa wapinzani bungeni, tetea, fanya nini, huo ndio ukweli... tanzania iko kwenye transition kwenda kuzuri na any decision now is worth more than our steps towards multiparty

tafakari kwamba hatutoi nafasi kama zawadi bali wa uwezo
 
Hivi unavyosema kuwa Chadema imepata wabunge 22 una uhakika???


  1. Ole Sambu -Arumeru Magharibi/Chadema
  2. Regia Mtema / Chadema
  3. Prof Mlambiti /Chadema

Hawa hawajapata ubunge, CCM imeshinda kwenye majimbo yao ila pia umemuacha Prof Kahigi mbunge mteule wa Bukombe.
 
Cuf watakuwa kiongozi wa upinzani kwani hadi sasa wana wabunge 23 na viti maalumu hutegemea uwiano wa idadi ya wabunge na si vinginevyo.
Kampeni zimeshaisha hapa watu wanakuja na facts si kubwabwaja, wewe unasema idadi ya wabunge wepi kwa sababu kuna aina kama tano za wabunge.
 
Back
Top Bottom