Mh Edward Lowassa ni mfano wa kuheshimu familia

Safi sana tatum, huyu mzee anastahili heshima ila genge lile la wahuni aliko sasa linamkosesha heshima. Kuona jinsi Mama yetu alivyo pia na busara akakataa viti maalum maana jinsi wanavyowekana ni uhuni mtupu nadhani Lowassa aliwaona siyo waadilifu akamshauri mke wake akatae uteuzi.
Thanks alot
 
Back
Top Bottom