Nyamemba
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 845
- 446
Katika kile kinachoonekana kama kutafuta utakaso baada ya kubaniwa mjengoni,mzee EL amekuwa akizungukia nyumba za ibada hasa makanisa ili kujaribu angalau kurudisha uhai wake kijamii hasa baada ya kile rais jk alichokiita ajali ya kisiasa alipojiuzulu,napenda kuwaulizeni ninyi wapambe wa mh EL kuwa ni lini mtamwandalia ratiba ya kuja huku nyanda za juu hasa MBEYA?