idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,312
Kwakuwa mheshimiwa umekuwa unatufariji mara kwa mara hasa kwenye misiba iwe ya raia ua viongozi bila kuja kujali itikadi za vyama vyetu; tunakuomba uwakumbuke na wananchi wa Songea hasa ukizingatia kuwa jeshi letu la polisi limekiri udhaifu kwa kutumia nguvu nyingi bila sababu za msingi kwa kuuwa raia wasiokuwa na hatia