Akitoa hoja yake bungeni leo asubuhi,ameilalamikia serikali kwa kuwatelekeza wananchi wake wa Mbinga Magharibi kuwa maisha yao ni duni sana.Amepongeza serikali kuipa fedha TBC, lakini ameomba serikali ijaribu kuwafikishia upatikanaji wa huduma za TBC jimboni kwake.Lakini pia amesisitiza kwa M/kiti wa bunge Mh. Mhagama kujenga barabara mapema kama ambavyo serikali imetenga fedha.Kwa masikitiko makubwa aliongeza kwa kusema kuwa wananchi wake ktk eneo la ziwa nyasa wamekuwa wakiishi maisha duni sana kiasi hata usafiri wa majini bado ni kitendawili, maana wanatumia mitumbwi. HONGERA Mh. Capt. J.D KOMBA kwa kuwatetea wananchi wako