Hata kikwete amepeleka waganga mtwara kwa ajili ya kusafisha uchawi! hii ni baada ya mama salma kufanya ziara huko.. wakati amelala kwenye hotel aliyofikia wachawi wakamtoa nje na kumnyoa nywele zake za ........ , asubuhi alipoamka akajikuta nje!
so mkuu wa kaya akaamua kupeleka wataalamu kule na kazi inaendelea
Source: mmoja wa washirikina ambaye ni jirani yangu!
beatrice shelkindo na edward lowasa ,hapohapo kuna batrida burian na edward lowasa .leo hii lowasa ni mgonjwa kuliko.
Beatrice Shelkindo ameingia mgogoro na Mkuu wa wilaya baada ya kumugharimia mganga wa kienyeji aliyepewa jukumu la kupekuwa,nyumba za watu,makanisa na misikiti kwa lengo la kukamata wachawi na matunguli yao.Zoezi hilo limepingwa vikali na Mashehe jimboni humo kiasi cha kuleta mgogoro mkubwa.source Majira ya leo na vyanzo kutoka Tanga
Hata kikwete amepeleka waganga mtwara kwa ajili ya kusafisha uchawi! hii ni baada ya mama salma kufanya ziara huko.. wakati amelala kwenye hotel aliyofikia wachawi wakamtoa nje na kumnyoa nywele zake za ........ , asubuhi alipoamka akajikuta nje!
so mkuu wa kaya akaamua kupeleka wataalamu kule na kazi inaendelea
Source: mmoja wa washirikina ambaye ni jirani yangu!
wal mushirkina finari jahanamWana CCM kwa uchawi tu.... HATUJAMBO