Beatrice Shelkindo ameingia mgogoro na Mkuu wa wilaya baada ya kumugharimia mganga wa kienyeji aliyepewa jukumu la kupekuwa,nyumba za watu,makanisa na misikiti kwa lengo la kukamata wachawi na matunguli yao.Zoezi hilo limepingwa vikali na Mashehe jimboni humo kiasi cha kuleta mgogoro mkubwa.source Majira ya leo na vyanzo kutoka Tanga