sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,010
- 8,355
1.Muhoja Mapande Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Geita Mjini alikopa 5000,000/= miaka nane iliyopita hajawai lipa hata shilingi kumi mpaka leo chama kimekufa, na yeye ofisi zake zipo humo humo.
2.Francis Elias ni Katibu CCM Kigoma alikopa 30,000,000/= kwa fhamana ya mshahara halipi kabisa.
3. Patrick Kusaga alikopa 12,872,766.35/= halipi kabisa ni katibu CCM Wilaya ya Kigoma halipi hata senti tano miaka minane iliyopita.
4.Gervas Makoye anadaiwa milioji 12,509,023/= ni katibu wa CCM wa Mbogwe anadaiwa hajawahi kulipa.
5.Joseph Isuka katibu CCM Vijana alikopa milioni 8,066,565.25/= mpaka leo halipi.
6.Yulitha Gidion huyu alikuwa secretary wa katibu wa CCM Mkoa WA Geita alikopa na kukimbia na 2,278,782/= halipi.
7.Nicholaus Kasendemila katibu wa CCM Wilaya ya Dodoma 2,241,095/= halipi chochote miaka nane iliyopita
wadahiwa hawa viongozi wa Chama cha Mapinduzini watumishi wa chama chao wanadaiwa jumla shilingi Milioni 66,968,232.400/= fedha hizi zilikopeshwa kwa chama cha ushirika Geita SACCOS LTD miaka nane iliyopita.
Sasa Mh. Asunga juzi tuliona umewasha moto huko Arusha kwa wabadhalifu wa aina hii sasa tafadhali tunaomba utoe tamko kwa Makada wenzetu asante.
2.Francis Elias ni Katibu CCM Kigoma alikopa 30,000,000/= kwa fhamana ya mshahara halipi kabisa.
3. Patrick Kusaga alikopa 12,872,766.35/= halipi kabisa ni katibu CCM Wilaya ya Kigoma halipi hata senti tano miaka minane iliyopita.
4.Gervas Makoye anadaiwa milioji 12,509,023/= ni katibu wa CCM wa Mbogwe anadaiwa hajawahi kulipa.
5.Joseph Isuka katibu CCM Vijana alikopa milioni 8,066,565.25/= mpaka leo halipi.
6.Yulitha Gidion huyu alikuwa secretary wa katibu wa CCM Mkoa WA Geita alikopa na kukimbia na 2,278,782/= halipi.
7.Nicholaus Kasendemila katibu wa CCM Wilaya ya Dodoma 2,241,095/= halipi chochote miaka nane iliyopita
wadahiwa hawa viongozi wa Chama cha Mapinduzini watumishi wa chama chao wanadaiwa jumla shilingi Milioni 66,968,232.400/= fedha hizi zilikopeshwa kwa chama cha ushirika Geita SACCOS LTD miaka nane iliyopita.
Sasa Mh. Asunga juzi tuliona umewasha moto huko Arusha kwa wabadhalifu wa aina hii sasa tafadhali tunaomba utoe tamko kwa Makada wenzetu asante.