KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
kamsifia kwasababu alikua nae hapo.
kamsifia kwasababu alikua nae hapo.
Labda tulioko nje ya TZ mtujuze kitu gani muhimu amekifanya au amekizungumza bungeni kiasi cha kuweza kumfananisha na kumlinganisha na magwiji?
Tunaomba mtujuze.
Huo ndio upinzani makini, anayestahiki unamuunga mkono, anayevurunda unamweka sawa kwa hoja. Hongera Mama Anna! Hongera Manyika!mnafki mkubwa huyo! jisauti baya!