AMARIDONG
JF-Expert Member
- Jun 24, 2010
- 2,502
- 180
Mama mkongwe kwenye kile chama cha magambaza ameshindwa kujizuia tbc muda sio mrefu na kuanza kummiminia jj mnyika sifa kibao na kumuambia wazi kuwa anamuombea mungu jj arudi bungeni 2015 na zaidi ya hapo kwani jj ni mfano wa kuigwa kwa vijana wote nchini