Taarifa za uhakika kutoka sumbuwanga mjini zinaonyesha kuwa ccm mkoa wamekaa kikao cha siri na kupanga njama za kumutoa katibu mwenezi bw patrick maufi ambaye ameswekwa rumande mpaka sasa kwa kosa la mauaji ya mke wake.
Mwezi uliopita patrick maufi alimubamiza mkewe kwenye ukuta na kumuua kwa kosa wivu wa mapenzi.
Mipango imesukwa na ccm mkoa inayosimamiwa na mbunge wa sumbuwanga mjini mh aeshi.
Aeshe anatajwa kuwango kamati ya siasa wilaya ikiongozwa na patrick maufi na kupitisha jina la aeshi kwenye kinyang'anyilo cha ubunge huku akiwa na tuhuma za kumupa mwanafunzi mimba na kumulawiti mhindi.
Ccm imepanga makundi mawili moja lina kwenda muhimbili na lingine linakwenda milembe , wote wakilenga kutafuta cheti cha kufiji ili kuonyesha kuwa patrick maufi aliwahi kuugua kichaa na wanapanga kughushi cheti cha matibabu ya clinic kuonyesha trend za matibabu ili wazitumie kumutoa mtuhumiwa mahakamani.
Mda si mrefu ccm wapo mbioni kuwasilisha hoja ya ukichaa ili kumutoa na tuhuma hizo kwa kuwa kesi hiyo inachafua ccm
Mwezi uliopita patrick maufi alimubamiza mkewe kwenye ukuta na kumuua kwa kosa wivu wa mapenzi.
Mipango imesukwa na ccm mkoa inayosimamiwa na mbunge wa sumbuwanga mjini mh aeshi.
Aeshe anatajwa kuwango kamati ya siasa wilaya ikiongozwa na patrick maufi na kupitisha jina la aeshi kwenye kinyang'anyilo cha ubunge huku akiwa na tuhuma za kumupa mwanafunzi mimba na kumulawiti mhindi.
Ccm imepanga makundi mawili moja lina kwenda muhimbili na lingine linakwenda milembe , wote wakilenga kutafuta cheti cha kufiji ili kuonyesha kuwa patrick maufi aliwahi kuugua kichaa na wanapanga kughushi cheti cha matibabu ya clinic kuonyesha trend za matibabu ili wazitumie kumutoa mtuhumiwa mahakamani.
Mda si mrefu ccm wapo mbioni kuwasilisha hoja ya ukichaa ili kumutoa na tuhuma hizo kwa kuwa kesi hiyo inachafua ccm