Mguu wa kushoto unatoa maumivu makali

limbende

JF-Expert Member
May 14, 2013
1,038
621
Wakuu naamin mko salama,naomba msaada tatizo langu ni mguu wa kushoto yaan ni kama unawaka moto kwenye kisigino na kanyagio,Nina miez mitatu ila sasa nahisi kuongezeka maumivu.msaada tafazal

Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
 
Jaribu Dawa ya kuchua inaitwa Gold oil Nenda Msikiti wa kwa mtoro inapatikana bei 1000,Au maduka ya mitishamba ya waislaaam, IPO kwenye box Langi ya gold , IPO nyingine INA box LA langi nyeupe, Hiyo usichukue, Tafuta ile ya langi ya Gold. Inatibu mambo mengi sana
 
Wakuu naamin mko salama,naomba msaada tatizo langu ni mguu wa kushoto yaan ni kama unawaka moto kwenye kisigino na kanyagio,Nina miez mitatu ila sasa nahisi kuongezeka maumivu.msaada tafazal

Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
hilo tatizo lilinitesa sana ila kuna chakula dawa nilitumia likaisha ngoha nipekue ktk kumbukumbu takujulisha mkuu
 
Nenda hospitali kufanyiwa CT scan au hata MRI.

Pole, sidharau kujisikia hivyo kwa muda mrefu.

Na chekiwa kila kitu
 
Nenda hospitali kufanyiwa CT scan au hata MRI.

Pole, sidharau kujisikia hivyo kwa muda mrefu.

Na chekiwa kila kitu
Asante kwa ushauri mkuu,nitafanyia kazi ila nadhan kama ni dalili ya bp fulan

Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
 
hilo tatizo lilinitesa sana ila kuna chakula dawa nilitumia likaisha ngoha nipekue ktk kumbukumbu takujulisha mkuu
Mkuu bado hujapekua pekua kumbukumbu,maana naona had heshima ya ndoa pia yapungua,, VP nawew ulikua ivo

Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu bado hujapekua pekua kumbukumbu,maana naona had heshima ya ndoa pia yapungua,, VP nawew ulikua ivo

Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
mkuu naomba nikupe first aid . TAFUTA MAJANI YA MLONGE YAWE LAINI PIKA KA MA MBOGA KULA WAKATI NAENDELEA KUPEKUA
 
Wakuu naamin mko salama,naomba msaada tatizo langu ni mguu wa kushoto yaan ni kama unawaka moto kwenye kisigino na kanyagio,Nina miez mitatu ila sasa nahisi kuongezeka maumivu.msaada tafazal

Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
Fear of moving forward
 
Wakuu naamin mko salama,naomba msaada tatizo langu ni mguu wa kushoto yaan ni kama unawaka moto kwenye kisigino na kanyagio,Nina miez mitatu ila sasa nahisi kuongezeka maumivu.msaada tafazal

Sent from my TECNO-C5 using JamiiForums mobile app
Pole mkuu,

Mara nyingi dalili ya kusikia sehemu ya mwili kuwaka moto au kuwa na nganzi ni kwamba utembeaji wa damu kwenda kwenye eneo hilo ni hafifu au dhaifu hivyo tissues za eneo hilo zinakosa oxygen na nutrients za kutosha,au neva za fahamu zinazo control eneo hilo hazina nutrients za kutosha.
Hii inawezekana kutokea endapo sehemu flani ya mishipa ya damu kuna mafuta yaliyoganda(cholesterol) na kusababisha kuwa narrow au kuna embolus ya aina yoyote imetokea by chance. Katika mwili kujitahidi kupambana na hali hiyo ndio unakuta zinakuja reactions mbalimbali ikiwemo maumivu,ganzi ,n.k.
Kuna tiba moja ya food therapy ambayo inapambana na matatizo yatokanayo na mzunguko wa damu ikiwemo kupunguza kiwango cha cholesterol,BP,magonjwa ya moyo,n.k.
Kama utahiitaji unaweza kunipigia 0718235364
Dsm.
 
Pole mkuu,

Mara nyingi dalili ya kusikia sehemu ya mwili kuwaka moto au kuwa na nganzi ni kwamba utembeaji wa damu kwenda kwenye eneo hilo ni hafifu au dhaifu hivyo tissues za eneo hilo zinakosa oxygen na nutrients za kutosha,au neva za fahamu zinazo control eneo hilo hazina nutrients za kutosha.
Hii inawezekana kutokea endapo sehemu flani ya mishipa ya damu kuna mafuta yaliyoganda(cholesterol) na kusababisha kuwa narrow au kuna embolus ya aina yoyote imetokea by chance. Katika mwili kujitahidi kupambana na hali hiyo ndio unakuta zinakuja reactions mbalimbali ikiwemo maumivu,ganzi ,n.k.
Kuna tiba moja ya food therapy ambayo inapambana na matatizo yatokanayo na mzunguko wa damu ikiwemo kupunguza kiwango cha cholesterol,BP,magonjwa ya moyo,n.k.
Kama utahiitaji unaweza kunipigia 0718235364
Dsm.
Weka hapa jukwaani mkuu!
Simu za nini tena!
 
Weka hapa jukwaani mkuu!
Simu za nini tena!
upload_2017-7-11_10-14-18.png

Mi ni msambazaji naweza kukuletea
 
Tupo wengi, mm chanzo viatu

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
mkuu kama ushalijua tatizo ni viatu huna haja ya kutumia vidonge. mtafute mtaalamu wa orthopedic technology atakuelekeza aina ya viatu vya kukufaa au atakutengenezea insole orthosis kulingana na atakavyokutathimini. Yupo ninaemfahamu kama utaitaji nitakuonganisha nae uende clinic kwake.
 
Pole mkuu,

Mara nyingi dalili ya kusikia sehemu ya mwili kuwaka moto au kuwa na nganzi ni kwamba utembeaji wa damu kwenda kwenye eneo hilo ni hafifu au dhaifu hivyo tissues za eneo hilo zinakosa oxygen na nutrients za kutosha,au neva za fahamu zinazo control eneo hilo hazina nutrients za kutosha.
Hii inawezekana kutokea endapo sehemu flani ya mishipa ya damu kuna mafuta yaliyoganda(cholesterol) na kusababisha kuwa narrow au kuna embolus ya aina yoyote imetokea by chance. Katika mwili kujitahidi kupambana na hali hiyo ndio unakuta zinakuja reactions mbalimbali ikiwemo maumivu,ganzi ,n.k.
Kuna tiba moja ya food therapy ambayo inapambana na matatizo yatokanayo na mzunguko wa damu ikiwemo kupunguza kiwango cha cholesterol,BP,magonjwa ya moyo,n.k.
Kama utahiitaji unaweza kunipigia 0718235364
Dsm.
Uko vizuri sana kaka napenda sana mtu anae explain vitu kitaaalam namna hiyo
 
Back
Top Bottom