Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 37,401
- 79,635
Hapana. Bali wagonjwa wa pumu huitumia wakipata dalili za mafua maana hupelekea kupata asthma attack.cetrizine huwa inasaidia.
Hapana. Bali wagonjwa wa pumu huitumia wakipata dalili za mafua maana hupelekea kupata asthma attack.cetrizine huwa inasaidia.
Kuna demu nilikuwa nampensa sana miaka hiyo aisee ilimsumbuliaMpeleke hospitali kwanza akishapata nafuu.Kampime allergy Kisha leta mrejesho hapa
Inategemea na aina ya mgonjwa !
Salbutamol kwangu mie hata ile pumu ya mwanzo kabisa huwa hainisaidiii ,napona na aminophylline!
Jamani jamani nahitaji msaada wenu kuna mgonjwa wa pumu ana hali mbaya sana yeyote anayejua tiba yake tafadhali.
Naombeni msaada.
Msaada
Mafuta gani alipewamama yangu alikua nao, alienda hospital ya kcmc moshi kuna vikopo akaambiwa yawe mafuta yake alipewa happ hapo hospital na imekua tiba mpaka leo hatoki harara wala upele wala hawashwi sana sana anatumia tetmosal kama sabuni ya kuogea
Moderator wanazingua sana… mada ilianzishwa mtu anaomba dawa ya pumu ya ngozi ( eczema) nyie mmeeuunganisha hapa.. Hamjafanya poa hata kidogo
ni mafuta hayana harufu kabisa yapo kwneye vikopo vidogoMafuta gani alipewa
Yanaitwajeni mafuta hayana harufu kabisa yapo kwneye vikopo vidogo