Hapo kwenye bold kumbe wakati mwingine mnakataa kuwatibu majeruhi hadi waende kwenye dawati la malalamiko ambako sijui kama kuna mhudumu kwenye dawati hilo kwa 24/7 hours? Majeruhi akimkosa mhudumu wa dawati la malalamiko ndo anaamua kuondoka sijui kama huyo aliyedondoka nae aliamua kuondoka baada ya kuambiwa aende kwenye dawati la malalamiko. Asante kwa kukubali kuwa kuna wakati mnakataa kuwahudumia wasio na PF3 hadi waende kulalamika huko.Nipo Kati ya raia na muhudumu WA afya. Wagonjwa huwa hawapeleki pf3 inapotokea amekufa kesi inabaki kwa DOKTA aliyemtibu ila Siku hizi matibabu unapata Huku pf3... Inafatiliwa hutopata ruhusa hadi pf3 iletwe. Kama usipopata huduma kwakuwa huna pf3... Kuna dawati LA malalamiko kila hospital nenda kalalamike ukitoa sababu za msingi Kuwa kwanini unapaswa kutibiwa bila pf3...
Sio kweli...mambo yamebadilika sana siku hizi...huduma za afya zimeboreshwa sana...ebu tembelea hospitali yoyote iliyo karibu nawe kisha uje utoe mrejesho.Uwezo wa kujali utu bado upo chini sana hapa kwetu
Uende kwenye dawati la malalamiko huku ukiwa umezimia au umevunjika miguu?Nipo Kati ya raia na muhudumu WA afya. Wagonjwa huwa hawapeleki pf3 inapotokea amekufa kesi inabaki kwa DOKTA aliyemtibu ila Siku hizi matibabu unapata Huku pf3... Inafatiliwa hutopata ruhusa hadi pf3 iletwe. Kama usipopata huduma kwakuwa huna pf3... Kuna dawati LA malalamiko kila hospital nenda kalalamike ukitoa sababu za msingi Kuwa kwanini unapaswa kutibiwa bila pf3...
Sijakili kukataa kuwa siku hizi majeruhu wanakataliwa....ila nimeeleza kuwa majeruhi atapata huduma huku ndugu zake wakifatilia pf3...ila ikitokea amekosa huduma sehemu sahihi ya yeye kwenda ni dawati malalamiko.Hapo kwenye bold kumbe wakati mwingine mnakataa kuwatibu majeruhi hadi waende kwenye dawati la malalamiko ambako sijui kama kuna mhudumu kwenye dawati hilo kwa 24/7 hours? Majeruhi akimkosa mhudumu wa dawati la malalamiko ndo anaamua kuondoka sijui kama huyo aliyedondoka nae aliamua kuondoka baada ya kuambiwa aende kwenye dawati la malalamiko. Asante kwa kukubali kuwa kuna wakati mnakataa kuwahudumia wasio na PF3 hadi waende kulalamika huko.
Hivyo unataka kusema huyo jamaa ni muhalifu ndio sababu hajapatiwa huduma? Au sijakuelewa?Pf3 ni muhimu...ni kinga kwa dokta dhidi ya lolote linaloweza kumtokea mgonjwa...wa ajari. Hapo mwanzo waharifu walikuwa wengi sana hivyo wengi wa majeruhi enzi hizo walikuwa waharifu walioshambuliwa na Polisi...kwakuwa hospitali ni sehemu ya kiusalama...huwezi kupata huduma bila wao kujilizisha kuwa hukuwa unakimbia mkono wa dola. Ila siku hizi huduma unapata kama kawaida harafu pf3 unapeleka ukiwa unaendelea kupata huduma.
Hakuna kitu hicho siku hizi huduma kwanza pf3 inafuata...ata ukiwa huna pesa huduma unapata kisha unalipa baadae
We unazungumzia mambo ya South Africa, Umesahau kuwa mleta mada yupo TanzaniaHakuna kitu hicho siku hizi huduma kwanza pf3 inafuata...ata ukiwa huna pesa huduma unapata kisha unalipa baadae
Picha inaonyesha yupo nje ya hospitali na sio ndani...angekuwa ndani...wangemsaidia...atuwezi kujua kilichomuangusha...anaweza akawa amegongwa na vyombo vya moto.
Kwa nini unasema hivi karibuni? Kabla ya hivi karibuni hali ilikuwaje? Kwamba wanajirekebisahaau? Juwa pamoja na Magu kuwa mkali kwenye hii vita kuna watu hawataki kuelewa maana uzembe na kitu kidogo kipo damuni hadi washikwe na PCCB labda.Usiamini habari za kwenye mitandao hazina uharisia...umeenda hospital yoyote ya serikali hivi karibuni...?
mimi na wewe Atuwezi kujua...maana siwezi kuamini kitu ambacho sijaona/sijakuwepo...ila angekuwa ndani ya hospital angepata huduma.Hivyo unataka kusema huyo jamaa ni muhalifu ndio sababu hajapatiwa huduma? Au sijakuelewa?
Sio kweli...mambo yamebadilika sana siku hizi...huduma za afya zimeboreshwa sana...ebu tembelea hospitali yoyote iliyo karibu nawe kisha uje utoe mrejesho.
usiwe mbishi hata vitu vya wazi tazama picha, TENA UKIIZOOM HIYO UTAONA WAHUDUMU WALIVYO HAMAKI MGONJWA ALIVYODONDOKAHakuna kitu hicho siku hizi huduma kwanza pf3 inafuata...ata ukiwa huna pesa huduma unapata kisha unalipa baadae
Hapa huwa siendagi huko. Labda ikija kutokea kwamba naumwa na ni lazima kuanzia hospitali za Serikali ndio nitakwenda.Usiamini habari za kwenye mitandao hazina uharisia...umeenda hospital yoyote ya serikali hivi karibuni...?
Tunazungumzia mambo yaliyopo sio yaliyopita...ndio maana mada ni yaleo na sio miaka iliyopita...ndio maana nikakushauri utembee tu ata kuona wagonjwa na unaruhusiwa kuwahoji kuhusu huduma wanazopata...kwa kuanzia anza na hospitali iliyo karibu na wewe...muda wa kuona wagonjwa ni saa 6 mchana na saa 10 jioni ama asubuhi saa 12.Kwa nini unasema hivi karibuni? Kabla ya hivi karibuni hali ilikuwaje? Kwamba wanajirekebisahaau? Juwa pamoja na Magu kuwa mkali kwenye hii vita kuna watu hawataki kuelewa maana uzembe na kitu kidogo kipo damuni hadi washikwe na PCCB labda.
Naona unatumia nguvu nyingi sana kuwatetea wenzio.mimi na wewe Atuwezi kujua...maana siwezi kuamini kitu ambacho sijaona/sijakuwepo...ila angekuwa ndani ya hospital angepata huduma.
Ubishi tu wa bure. Huenda huo utaratibu upo kwenye kitengo chako cha kazi na sio Tanzania nzima. Usipende kubisha bisha vitu.Sijakili kukataa kuwa siku hizi majeruhu wanakataliwa....ila nimeeleza kuwa majeruhi atapata huduma huku ndugu zake wakifatilia pf3...ila ikitokea amekosa huduma sehemu sahihi ya yeye kwenda ni dawati malalamiko.
mambo yamebadilika sana siku hizi...yani ukionekana umezidiwa lazima utapata huduma tena haraka iwezekanavyo...ndio maana kwa mtoa mada si mkweli..huyo majeruhi angekuwa ndani ya hospitali lazima angepata huduma...Hapa huwa siendagi huko. Labda ikija kutokea kwamba naumwa na ni lazima kuanzia hospitali za Serikali ndio nitakwenda.
Namshangaa anavyobisha wakati ndio zao hizo huwa wanaangalia wagonjwa na wagonjwa wa kuwapa huduma kwa wakati tena wale ambao wanajua watapata chochote kitu ndio wanawapaga kipaumbele.Ubishi tu wa bure. Huenda huo utaratibu upo kwenye kitengo chako cha kazi na sio Tanzania nzima. Usipende kubisha bisha vitu.
Mara yakoya mwisho kuingia hospitali ilikuwa lini...?Ubishi tu wa bure. Huenda huo utaratibu upo kwenye kitengo chako cha kazi na sio Tanzania nzima. Usipende kubisha bisha vitu.