MARCKO
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 2,258
- 274
Kadiri muda unavyokwenda CWT wanazidi kukatisha tamaa.Wamekua wana ongea tu lakini hata kuongea kwenyewe sikuizi hawaongei tena. TZ kwa sasa ipo mikononi mwa CWT. Hii ni kutokana na ukweli usio pingika kwmba kumekuwepo na mgomo baridi kwa mfululizo wa miaka kama mi5 hivi. Nafuu mgomo wa mwezi mmoja baada ya hapo wanafunzi wakafundishwa vizuri ; kuliko mgomo baridi usio na kikomo.
Mgomo baridi unasababisha taifa la kizamani lakini serikali haioni hilo. Viongozi wa CWT kuweni na msimamo acheni ufisi wenu. HATUJA SAHAU MGOMO. TUNATESEKA NA MAZINGIRA MAGUMU HUKU VIJIJINI NYIE MKO DARISALAMA KWENBYE VIYOYOZI.
NB: Ajali ya meli naomba isiingilie mgomo wetu. Serikali inatudharau sana. Tuifufue elimu kwa kurekebisha masilai ya walimu na mazingira ya kufundishia. LET US FIGHT FOR THE FRUITFUL EDUCATIONAL SYSTEM IN OUR LOVELY TANZANIA!!!!!
Mgomo baridi unasababisha taifa la kizamani lakini serikali haioni hilo. Viongozi wa CWT kuweni na msimamo acheni ufisi wenu. HATUJA SAHAU MGOMO. TUNATESEKA NA MAZINGIRA MAGUMU HUKU VIJIJINI NYIE MKO DARISALAMA KWENBYE VIYOYOZI.
NB: Ajali ya meli naomba isiingilie mgomo wetu. Serikali inatudharau sana. Tuifufue elimu kwa kurekebisha masilai ya walimu na mazingira ya kufundishia. LET US FIGHT FOR THE FRUITFUL EDUCATIONAL SYSTEM IN OUR LOVELY TANZANIA!!!!!