Profesa
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 905
- 624
Bado mnataka kura 2015?
Kama wewe ni kingozi wa kweli wa nchi hii, mwenye mapenzi mema na taifa hili, waondoeni watoto wenu kwenye hayo mashule ya private ya ki-st... na muwarudishe kwenye mashule ya serikali ikiwemo primary na sekondari (kwa sekondari, ni hasa wale waliofaulu). Walimu hebu ibukeni na data za wanafunzi ambao hawakuripoti shuleni hata kama walichaguliwa na wakapelekwa Feza... na kwengineko? Na watoto wangapi wa wakubwa wako kwenye mashule binafsi ya msingi na nasary? Maana hili ndilo linalofanya wasijali kabisa maendeleo ya elimu ya wengi wetu. Hawana njaa hao, hawana shida ya nyumba wala usafiri, watoto wao wanaenda shule na magari na wote wako hapa Dar es Salaam, huko nangulukulu watakuja ziarani tu na kama hawajapewa posho ya kutembelea hawaji!
Walimu na madaktari msikate tamaa, mpaka kieleweke, ninachotaka hawa viongozi mpaka wajifunze kuwa uongoziz ni dhamana sio ufalme kwamba unataka uabudiwe, wawe na utu wakati wa kushughulikia malalamiko ya wananchi wake. Tumewapa dhamana hawa viongozi, kama kitu hakiwezekani wasitoe maneno ya udhalilishaji na ubabaishaji kwa kusingizia upinzani au eti maadui wa chama, wakati ni wazi kabisa ndani ya serikali mambo hayaendi sawa! Kama kuna ugumu, toeni maaelezo na ushahidi wa mambo, kwanini serikali haiwezi kuongeza mafao ya walimu au kuyashughulikia, sio kusema tu hamna fedha, sio jibu linalojitisholeza.
Kama serikali inataka ichaguliwe tena, kwa kizazi hiki waliko kazini kwenye maofisi mengi ya serikali na binafsi, huwezi kutumia ubabe hata kidogo, kuna idadi kubwa ya vijana ambao wameelimishwa na media na thinking yao is so different, haifanani na yakina Mheshimiwa Wasira na wenzanke. Heshima ina maaana tofauti, si unyenyekevu tena (kwakuwa kipindi kilichopita ukiwa na cheo hata kama unafanya upuuzi hakuna anaeibuka na kukusoa tu, lazima atumie unyenyekevu wa hali ya juu), ila ni heshima na utu, na kuthamini maoni na mawazo ya kila mmoja. Mnalielewa hili? Na tena, kutumia hoja chanya kujibu maoni hasi na pingamizi ya mambo. Amkeni madaktari na walimu walioko kazini idadi yao kubwa ni kizazi kpya hawajapita JKT, wala hawakusoma katiba ya CCM kama somo kama wengi wenu mlioko madarakani. Hawafikiri na kuamua kama nyinyi!
Hawa ndiyo, wapiga kura 2015! CCM mlioshika hatamu please change and adopt new trends, ongeeni na walimu kwa busara na uvumilivu, msituingize shimoni. Ongeeni na walimu na wekeni mambo yenu wazi na mipango na muwe na hoja ili wawaelewe, msitarajie heshima kwa kuwa wababe nakutarajia kuabduiwa hawatafanya hivyo hawa ni kizazi kingine. Na hakuna cha ajabu, Tanzania ina changamoto kama nchi nyingine Afrika, so treat all of the Doctors and Teachers as human being and important, na ni sehemu ya watu ambao nyinyi ni viongozi wao.
Msisababishe watu wakachagua chama ili mradi tu wanataka mabadiliko, kwakuchoshwa na tabia zenu mbaya za kutokukubali kubadilika na kushughulika na kero za wazi za wananchi.
Kama wewe ni kingozi wa kweli wa nchi hii, mwenye mapenzi mema na taifa hili, waondoeni watoto wenu kwenye hayo mashule ya private ya ki-st... na muwarudishe kwenye mashule ya serikali ikiwemo primary na sekondari (kwa sekondari, ni hasa wale waliofaulu). Walimu hebu ibukeni na data za wanafunzi ambao hawakuripoti shuleni hata kama walichaguliwa na wakapelekwa Feza... na kwengineko? Na watoto wangapi wa wakubwa wako kwenye mashule binafsi ya msingi na nasary? Maana hili ndilo linalofanya wasijali kabisa maendeleo ya elimu ya wengi wetu. Hawana njaa hao, hawana shida ya nyumba wala usafiri, watoto wao wanaenda shule na magari na wote wako hapa Dar es Salaam, huko nangulukulu watakuja ziarani tu na kama hawajapewa posho ya kutembelea hawaji!
Walimu na madaktari msikate tamaa, mpaka kieleweke, ninachotaka hawa viongozi mpaka wajifunze kuwa uongoziz ni dhamana sio ufalme kwamba unataka uabudiwe, wawe na utu wakati wa kushughulikia malalamiko ya wananchi wake. Tumewapa dhamana hawa viongozi, kama kitu hakiwezekani wasitoe maneno ya udhalilishaji na ubabaishaji kwa kusingizia upinzani au eti maadui wa chama, wakati ni wazi kabisa ndani ya serikali mambo hayaendi sawa! Kama kuna ugumu, toeni maaelezo na ushahidi wa mambo, kwanini serikali haiwezi kuongeza mafao ya walimu au kuyashughulikia, sio kusema tu hamna fedha, sio jibu linalojitisholeza.
Kama serikali inataka ichaguliwe tena, kwa kizazi hiki waliko kazini kwenye maofisi mengi ya serikali na binafsi, huwezi kutumia ubabe hata kidogo, kuna idadi kubwa ya vijana ambao wameelimishwa na media na thinking yao is so different, haifanani na yakina Mheshimiwa Wasira na wenzanke. Heshima ina maaana tofauti, si unyenyekevu tena (kwakuwa kipindi kilichopita ukiwa na cheo hata kama unafanya upuuzi hakuna anaeibuka na kukusoa tu, lazima atumie unyenyekevu wa hali ya juu), ila ni heshima na utu, na kuthamini maoni na mawazo ya kila mmoja. Mnalielewa hili? Na tena, kutumia hoja chanya kujibu maoni hasi na pingamizi ya mambo. Amkeni madaktari na walimu walioko kazini idadi yao kubwa ni kizazi kpya hawajapita JKT, wala hawakusoma katiba ya CCM kama somo kama wengi wenu mlioko madarakani. Hawafikiri na kuamua kama nyinyi!
Hawa ndiyo, wapiga kura 2015! CCM mlioshika hatamu please change and adopt new trends, ongeeni na walimu kwa busara na uvumilivu, msituingize shimoni. Ongeeni na walimu na wekeni mambo yenu wazi na mipango na muwe na hoja ili wawaelewe, msitarajie heshima kwa kuwa wababe nakutarajia kuabduiwa hawatafanya hivyo hawa ni kizazi kingine. Na hakuna cha ajabu, Tanzania ina changamoto kama nchi nyingine Afrika, so treat all of the Doctors and Teachers as human being and important, na ni sehemu ya watu ambao nyinyi ni viongozi wao.
Msisababishe watu wakachagua chama ili mradi tu wanataka mabadiliko, kwakuchoshwa na tabia zenu mbaya za kutokukubali kubadilika na kushughulika na kero za wazi za wananchi.