kwanini?
safi thats is the final tool teachers have got......hamsisha wanafunzi waingie barabarani basi mapinduzi kwisha kazi. ukiwapiga mabomu watu wazima wanaingilia watoto wao kuumizwa then safari ya magwepande inakuwa imetimia kwa mkobaMimi naona kama vile hawa watoto wameandaliwa kufanya maandamano,nimeshangaa sana nilipokutana nayo barabarani leo asubuhi wakielekea manispaa nilipomuuliza mmojawapo akasema walimu wamegoma kufundisha kwahiyo wanaenda kudai haki yao. Na hao wa mabango hayo mabango wamendaa saa ngapi maana mgomo umeanza leo asubuhi.hawa watoto wameandaliwa na walimu wao kabisa.