Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
hawa ffu ni wapumbaf sana, wanaweza wakasababisha vifo vya wanafunziTunduma wanafunzi wakati wanaandamana, ffu wamewapiga bomu la machozi,
unaona sasa! Sasa ni vita kati ya wanafunzi+wazazi dhidi ya ffusasa watu wakubwa wameingilia, gate la kwenda zambia limefungwa kwa muda hamna gari kuvuka!