BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,011
Habari zilizo fika sasa hivi ni kwamba COURT OF APPEAL imefuta hukumu ya HIGH COURT na walimu sasa ruksa kugoma!
Sijui kama tutafika, hebu kumbuka migomo na migogoro ya NMB, wazee wa EAF, TRL, Wanafunzi vyuo vikuu, sasa walimu na walivo wengi kila kona ya Tz, nao.... hivi kutakalika?
Taratibu naona ile AMANI NA UTULIVU VINA YOYOMA...!
(Mod, p/se waweza iunga kwa ile ya zamani)
Safi sana hii, wakati mwingine mahakama zetu zinafanya maamuzi yenye kutetea haki za Watanzania.