Mwenzako akinyolewa na wewe tia maji. Wahenga hawakukosea. Mkoba wewe kiongozi wa mgomo wa walimu, uko tayari yakukute kama ya mpendwa wetu Ulimboka? Mgaya wa TUCTA upo? Mtakuwa tayari kutetea wenzenu?
Viongozi wa mgomo wa walimu elezen mapema kama mko tayari kufa maana nawajua mu waoga sana. Ulimboka ni shujaa wa nchi hii. Mungu amsaidie apone haraka sana.