Mwanaharakatihuru
JF-Expert Member
- Mar 21, 2012
- 477
- 120
Katika sakata dhidi ya serikali na wafanyakazi Mgaya kutoa neno hivi karibuni lakini taarifa za ki intellegensia zinasema kuwa tarehe 15 ndio siku pendekezwa.
Madai pendekezwa:
Maslahi kiduchu
PAYE ipunguzwe
Sheria kuhusu mafao ya kujitoa ibadilishe kipengele cha miaka 55 au 60 hadi miezi miwili.
Serikali iwajibishe polisi kuhusu uchunguzi wa kipigo cha dr Ulimboka
Huu ni upepo tu
Madai pendekezwa:
Maslahi kiduchu
PAYE ipunguzwe
Sheria kuhusu mafao ya kujitoa ibadilishe kipengele cha miaka 55 au 60 hadi miezi miwili.
Serikali iwajibishe polisi kuhusu uchunguzi wa kipigo cha dr Ulimboka
Huu ni upepo tu