Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,729
- 528
Tumesoma Wabunge wa CCM kutaka kugomea muswada wa mapendekezo ya mabadiliko ya sheria ya mabadiliko ya Katiba.Mapendekezo mapya ni matunda ya majadiliano baina ya CDM na Serikali baada yaSerikali kuona mantiki ya hoja za CDM.
Ukweli ni kuwa mabadiliko hayo yatasaidia kutunga Katiba bora zaidi kuliko ilivyokuwa awali.
Wabunge wa CCM walipopata wasaa wa kujadili muswada wa,bila aibu waliacha kujadili muswada wakapoteza muda kuwashambulia wenzao wa CDM. JK kakubali hoja za CDM,kwa nini wanagoma?
Ukweli ni kuwa mabadiliko hayo yatasaidia kutunga Katiba bora zaidi kuliko ilivyokuwa awali.
Wabunge wa CCM walipopata wasaa wa kujadili muswada wa,bila aibu waliacha kujadili muswada wakapoteza muda kuwashambulia wenzao wa CDM. JK kakubali hoja za CDM,kwa nini wanagoma?