Kabla ya walimu kugoma tuNataka auditing ifanyike CWT Mkoba na wenzake watuambie walivyotumia hizo 2% ambazo kila mwalimu hukatwa na kwa nini? Hadi Leo Suala la Bank ya walimu ni danadana? Na kodi za mwalimu houses ambazo ziko almost kila Mkoa mnazipeleka wapi? Jiandaeni na mapinduzi ya uongozi CWT yanakuja
hamna lazima tusafishe kwanza kwetu Kabla ya kwenda kwingine hat utaingia kwenye mgomo bila uongozi kubadili ka uongozi wa Sasa ni wa wanafki watupu na hautatusaidiaMnaanza kutafunana wenyewe? au ndo kutumiwa kukwamisha harakati!?
walimu wana munkari na wamechoshwa na maisha wanayoishi tatizo ni viongozi wa CHAMA CHA WALIMU ni wabinafsi wanaojijali wao na siku zote hufishisha harakati za walimu tofauti na madaktari ambao viongozi wao wako mstari wa mbele kudai haki zao, tatizo lingine ni Maafisa Elimu ambao wameshajisahau Kuwa nao ni walimu na kujiona ka miungu watu nao hutumika sana kuwatisha walimu.. Na tatizo lingine ambalo liko sana kwa primary school teachers wengi wao ambao ni walimu wa zamani ni Vihiyo, vyeti sio vyao so hAta hicho kidogo wanachopata kwao ni muujiza lakini hili linaisha coz Sasa kuna follow up Nzuri Saaana ya vyeti ktk vyuo vya ualimu.... Tumaini letu ni Kuwa sekta hii Sasa Ina Vijana wengi wenye sifa ambao wameajiriwa KUANZia miaka ya 2006 na watakuwa chachu ya mabadilko, Tukishamaliza kunyooshana ktk CWT tutafanya kitu ambacho HAMTAAMINI na kila atakayesikia sikio litamuwasha kuna sensa mbele inakuja tutavurugaje hizo data! Mitihani ya Taifa tutaivuruga HAMTAAMINI na bado uchaguzi tutafanya ka tulivyofanya baadhi ya sehemu mwaka 2010 hebu ulizeni walimu hasa wa sekondari walifanya nini labda watunyime hizo fursa NAFKIRI mmeshaona matokeo ya mgomo baridi tulionaomadaktari wanaweza kugoma lkn walimu hovyo sijui mmnaogopa nini.
madaktari wanaweza kugoma lkn walimu hovyo sijui mmnaogopa nini.
hamna lazima tusafishe kwanza kwetu Kabla ya kwenda kwingine hat utaingia kwenye mgomo bila uongozi kubadili ka uongozi wa Sasa ni wa wanafki watupu na hautatusaidia
Ubadhirifu wanaoufanya unahitaji ulinzi toka serikalini na ili walindwe ni lazima wafuate masharti ya wanene, hata wakiitisha mgomo at the end of the day utasikia tunaanza mazungumzo na serikali na mifano ipo mingi tu sina haja ya kuandika hapa....tukiwa kwenye vikao ukiongea sana hawa makatibu na wenyeviti hupeleka majina kwa wakurugenzi na maafisa elimu ili upangiwe kituo CHA pembezoni, hela Nyingi za ajira mpya za walimu huliwa na wakurugenzi maafisa elimu na viongozi wa CWT, kwa nini hata katika post za uongozi CWT. Kama ukatibu UKIWA na bachelor tu hupati? Wanakukata ghafla...... Kuhusu Mimi usiwe na wasiwasi ni mwalimu mwanaharakati ninaetumia vyeti halisi nimesoma diploma monduli TTC, na bachelor nimechukulia UDSM na muda ukifika utanijua tu tena kwa jina na sura ktk harakati zangu nshaadhibiwa sana niko kituo CHA pembezoni sipewi likizo hata form za mkopo wa Bank wamegoma kunisainia ,nilienda kusoma for three years sikupata mshahara afu salary slip zinakuja acha hii mambo wewe! NAFKIRI ni mwalimu nilieathirika na mfumo huu Saaana na Hao viongozi aw CWT si lolote si chochote Ngoja tuwapindue tuwaonyeshe kazi hufanywajeWewe unatumika na JK!! Mpinga maendeleo ya walimu!! Kwani huwezi ukagoma halafu baadaye ukapindua uongozi??? Hueleweki Bw. Mchonganishi. Una maana ubadhirifu wa viongozi wenu (kama upo) ndiyo unawanyima stahiki zenu toka serkalini?? Au ndiyo nyie wenye vyeti feki unaogopa utagundulika ukigoma?
walimu wana munkari na wamechoshwa na maisha wanayoishi tatizo ni viongozi wa CHAMA CHA WALIMU ni wabinafsi wanaojijali wao na siku zote hufishisha harakati za walimu tofauti na madaktari ambao viongozi wao wako mstari wa mbele kudai haki zao, tatizo lingine ni Maafisa Elimu ambao wameshajisahau Kuwa nao ni walimu na kujiona ka miungu watu nao hutumika sana kuwatisha walimu.. Na tatizo lingine ambalo liko sana kwa primary school teachers wengi wao ambao ni walimu wa zamani ni Vihiyo, vyeti sio vyao so hAta hicho kidogo wanachopata kwao ni muujiza lakini hili linaisha coz Sasa kuna follow up Nzuri Saaana ya vyeti ktk vyuo vya ualimu.... Tumaini letu ni Kuwa sekta hii Sasa Ina Vijana wengi wenye sifa ambao wameajiriwa KUANZia miaka ya 2006 na watakuwa chachu ya mabadilko, Tukishamaliza kunyooshana ktk CWT tutafanya kitu ambacho HAMTAAMINI na kila atakayesikia sikio litamuwasha kuna sensa mbele inakuja tutavurugaje hizo data! Mitihani ya Taifa tutaivuruga HAMTAAMINI na bado uchaguzi tutafanya ka tulivyofanya baadhi ya sehemu mwaka 2010 hebu ulizeni walimu hasa wa sekondari walifanya nini labda watunyime hizo fursa NAFKIRI mmeshaona matokeo ya mgomo baridi tulionao
Juz kwenye taarifa ya habar ya TBC1 WALIMU WA MKOA WA RUVUMA WALITANGAZA 'KUGOMA-KUGOMA'WALISEMA WAO WANA IMAN NA JK NA HAWATAGOMA,,,,
NAJIULIZA WALIMU NA MADAKTAR NI NANI ANAYELIPWA VIZURI HADI SASA??
Mi nafikiri walimu wanalipwa vizuri.
Si umesikia wakisema hawagomi maana wana imani na jk.