Mgomo wa madaktari - Updates

Naunga mkono madai ya Madaktari, serikali yetu si sikivu mara nyingi inajiona iko juu ya sheria ikifikiri mahakimu wako chini yake, lakini niseme mahakimu wakubwa ni wananchi kuna siku itahukumiwa.

Huu mgomo ni well calculated, madaktari wameanza na sharti ambalo serikali haihitaji hata shilingi moja kulitatua, ni la waziri kujiuzulu, hapo serikali haina kisingizio. Kwa hiyo madaktari wanafanya mgomo si kwa ajili ya dai moja tu ila wameona kama dai dogo tu serikali hawezi kutekeleza itakuwaje watakapodai mengine yanayohitaji pesa?
 
ahadi unaita dai jipya?

Ahadi ipi haijatimizwa? Waizri na Naibu waziri wanuhusiano upi na utendaji wao.

Kuna kila uwezekano kuwa sasa hivi minya ya ulaji fedha kijenga inazibwa na huyu waziri ndio maana wanamletea zengwe.

Tuliyaona alipokuwepo mzungu pale Muhumbili, aliziba njia za wizi basi akafanyiwa kila njama aondoke, akatishiwa mpaka maisha akiendelea kuwepo, mzungu wa watu akakimbia.

Hawa si madaktari ni wauwaji na wasisikilizwe hata kidogo na wahukumiwe na kupewa adhabu kali kabisa.
 
Serikali inampango kabambe wa kuonyesha makucha yake kwa madoctor na kuwa haitishiki na vifo vya raia wake na nilazima ishinde kwenye timbwili hili no matter what!

Hii ndio tafsiri niliyoipata baada ya tamko la waziri mkuu baada ya madaktari kutoa tamko takribani mwezi mmoja tangu wasitishe mgomo wakwanza ambao ulisababisha maafa makubwa baada ya kuvutana na PM wakutanie wapi mwisho PM akakubali kwenda kwenye venue ya madaktari.
 
madaktari wengi wana tabia mbaya wanatoa huduma mbovu lakini leo wanasema wanahitaji vifaa kwa ajili yetu wagonjwa wakati hata huduma ya mdomo tu wanashindwa kwa wagonjwa. Mgomo ni wa kulilia maslahi yao si vifaa vya wagonjwa wangeanza na huduma bora.
nadhani na hiyo ni moja ya vitu iliyoleta mgomo,maana wakilipwa stahiki zao hutayaona hayo!
 
huyo silent burner naona anaongea kama kasuku! hivi hujui kuwa nchi jirani ndio zinazoongoza kwa kutuibia madaktari wetu kwa sababu wao hawana madaktari wa kutosha? sasa hao wa kutoa huduma za dharula watoke wapi? na huko kwao atabaki nani wa kuwatibia wananchi wao? u r full of ****! mambo ya zamamni hayo ya kutishiana nyau watu wazima! wanaoumia ni watanzania wa kawaida, na ambaye anasababisha ni serikali, FULL STOP!!! Shushushu weee!
 
Ahadi ipi haijatimizwa? Waizri na Naibu waziri wanuhusiano upi na utendaji wao.

Kuna kila uwezekano kuwa sasa hivi minya ya ulaji fedha kijenga inazibwa na huyu waziri ndio maana wanamletea zengwe.

Tuliyaona alipokuwepo mzungu pale Muhumbili, aliziba njia za wizi basi akafanyiwa kila njama aondoke, akatishiwa mpaka maisha akiendelea kuwepo, mzungu wa watu akakimbia.

Hawa si madaktari ni wauwaji na wasisikilizwe hata kidogo na wahukumiwe na kupewa adhabu kali kabisa.

Inaelekea una "ya ndani kuliko tujuavyo" hebu mwaga hapa jamvini tuchambue
 
Naunga mkono madai ya Madaktari, serikali yetu si sikivu mara nyingi inajiona iko juu ya sheria ikifikiri mahakimu wako chini yake, lakini niseme mahakimu wakubwa ni wananchi kuna siku itahukumiwa.

Huu mgomo ni well calculated, madaktari wameanza na sharti ambalo serikali haihitaji hata shilingi moja kulitatua, ni la waziri kujiuzulu, hapo serikali haina kisingizio. Kwa hiyo madaktari wanafanya mgomo si kwa ajili ya dai moja tu ila wameona kama dai dogo tu serikali hawezi kutekeleza itakuwaje watakapodai mengine yanayohitaji pesa?

Waziri unamuhusu nini? wakati maswala yao yote yana shughulikiwa? Serikali ikiendelea kuwasikiliza hawa makanjanja wanaojiita madaktari itakuwa haijawatendea haki watanzania. hawa madaktari Kikwete anawachekelea sana, ingekuwa mimi, saa hizi wananyea debe.
 
Inaelekea una "ya ndani kuliko tujuavyo" hebu mwaga hapa jamvini tuchambue

Hakuna ya ndani, ni nini kinachowafanya wasimtake waziri? watendaji wakuu wamesimamishwa na Pinda mbele yao alipokutana nao. Sasa wanaingilia ambako mipaka yao hairuhusu wafike.
 
Huu mgomo ni batili kisheria. Serikali ina haki ya kuwashtaki au iwafukuze kazi wale watakaoendelea kukaidi rai ya kuwataka warudi kazini.

For Dr's info: ma-dr wa kutosha kutoa huduma za dharura wako stand-by toka nchi rafiki. Liwalo na liwe, watakuja kuokoa roho mnazotaka zipotee. In the meantime serikali inajipanga kushughulikia kiburi chenu na kuwarudisha kwenye saizi yenu halisi.

Kipindi hiki lazima jambo litafanyika, hata kama ni kwa gharama. Lazima kukomesha hii jeuri ya madaktari kuvunja katiba na kutaka kuingilia madaraka ya Rais ya kuteua wasaidizi wake.
huyo silent burner naona anaongea kama kasuku! hivi hujui kuwa nchi jirani ndio zinazoongoza kwa kutuibia madaktari wetu kwa sababu wao hawana madaktari wa kutosha? sasa hao wa kutoa huduma za dharula watoke wapi? na huko kwao atabaki nani wa kuwatibia wananchi wao? u r full of ****! mambo ya zamamni hayo ya kutishiana nyau watu wazima! wanaoumia ni watanzania wa kawaida, na ambaye anasababisha ni serikali, FULL STOP!!! Shushushu weee!
 
Nipo muhimbili,mama mkwe wangu amefariki,aliwekewa mashine ya oxgen usiku baada ya hapo dr hakuja tena,na mama ndo ametutangulia.migomo ina madhara,amefarik saa sita na nusu mchana huu.

Mwambie Dr.Maponda ajiuzuru kwanza.
 
Naunga mkono madai ya Madaktari, serikali yetu si sikivu mara nyingi inajiona iko juu ya sheria ikifikiri mahakimu wako chini yake, lakini niseme mahakimu wakubwa ni wananchi kuna siku itahukumiwa.

Huu mgomo ni well calculated, madaktari wameanza na sharti ambalo serikali haihitaji hata shilingi moja kulitatua, ni la waziri kujiuzulu, hapo serikali haina kisingizio. Kwa hiyo madaktari wanafanya mgomo si kwa ajili ya dai moja tu ila wameona kama dai dogo tu serikali hawezi kutekeleza itakuwaje watakapodai mengine yanayohitaji pesa?

Sasa nimejua kwanini Dr.Masaburiu aliwaita wabunge wetu na mawaziri kweli wanafikiri na kupumua kwa kutumia makario na siyo ubongo,amini usiamimi,ingekuwa ulaya Dr.Maponda angekuwa ameshajivua gamba tayari.
 
pole kwa kufiwa na mama mkwe..pumzika mama mkwe wangu....JK anaona sasa!!! kiburi hicho alikuwa nacho hata gadhafi lakini mwisho wake walimuingiza niiiiii kwenye nanihiiii.....

JK acha kucheza na moto!! au kwa sababu wewe unatibiwa India?
 
Waziri unamuhusu nini? wakati maswala yao yote yana shughulikiwa? Serikali ikiendelea kuwasikiliza hawa makanjanja wanaojiita madaktari itakuwa haijawatendea haki watanzania. hawa madaktari Kikwete anawachekelea sana, ingekuwa mimi, saa hizi wananyea debe.

Nilipokushauri ukatafute matusi mapya baada ya masaa manne 'makanjanja' is the best you can come up with?! Katafute mengine makubwa zaidi kisha urudi tena hapa...mpaka ufuke povu leo na dua zako za kuku!
 
Hakuna ya ndani, ni nini kinachowafanya wasimtake waziri? watendaji wakuu wamesimamishwa na Pinda mbele yao alipokutana nao. Sasa wanaingilia ambako mipaka yao hairuhusu wafike.

Nina wasiwasi....Ribosome = Pinda
 
huyo silent burner naona anaongea kama kasuku! hivi hujui kuwa nchi jirani ndio zinazoongoza kwa kutuibia madaktari wetu kwa sababu wao hawana madaktari wa kutosha? sasa hao wa kutoa huduma za dharula watoke wapi? na huko kwao atabaki nani wa kuwatibia wananchi wao? u r full of ****! mambo ya zamamni hayo ya kutishiana nyau watu wazima! wanaoumia ni watanzania wa kawaida, na ambaye anasababisha ni serikali, FULL STOP!!! Shushushu weee!

Funguka wewe! si kila nchi ina uhaba wa madaktari. Zingine zina surplus kama China, India, Cuba, Misri nk. Kama utakumbuka, juzi balozi wa Misri alikuwa pale Wizara ya Afya, unafikiri alikwenda kunywa chai?

Watamwagwa ma-dr hapa kama ***** na kiburi chenu kitaisha kwani mtapigwa chini. Hizo kazi mtaziomba upya mkiwa mmepiga mgoti na mikono nyuma ......ma-dr vilaza ninyi.

China, India, Misri na Cuba zimeahidi zaidi ya madaktari elfu moja, wako stand-by.
 
inafika wakati EL ni jasiri sana, alin'gatuka na kuesema hivi........ kama tatizo ni huu uwaziri mkuu basi najiuzulu, simple and clear ....... hawa kina mponda na nkya tatizo ni nini?....... wana frustrations za uongozi

pinda is a suppression kingpin acting on the basis cowardliness
 
nilipokushauri ukatafute matusi mapya baada ya masaa manne 'makanjanja' is the best you can come up with?! Katafute mengine makubwa zaidi kisha urudi tena hapa...mpaka ufuke povu leo na dua zako za kuku!

tanzania tanzania nakupenda kwa moyo woteeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Back
Top Bottom