Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
pinda huu ushauri alipanga na mkewe tunu........hakuangalia wala kufikiria.....sasa ma dr wapo..wamesaini lakini hawafanyi kazi.....Vitisho na ubabe sio njia sahihi ya kutatua migogoro. Unaweza kutia saini lakin usifanye kazi.
Lakin all in all, siasa zimeingia hapo ndio maana Serikali imeamua kuchukua wajibu wake.
Hongera Pinda.