Clouds fm ni redio bora east africa nzima ss inasikika kote!!
Mkuu mboma unalazimisha tukubali unachokiamini!? Me binafsi nimekutana nayo wakati natafuta kiss fm,niliposikia issue ya ma docta ikabidi nisikilizie,yaani jamaa anaongea pumba sana! Na wasiwasi na elimu yake!
Clouds fm ni redio bora east africa nzima ss inasikika kote!!
jamaa kama hawa zamani ungeingilia masuala nyeti kama haya siku ukienda madaktari wanakuchoma sindano ya sumu ili kupunguza usumbufu katika maisha maana watu wengine ni mizigo. Sijui hayo mambo bado yapo siku hizi!
hivi huyu kibonde anaishi dunia ipi, nimetamani kuizima radio yangu kutokana na maneno yake ya kipuuzi. Anadai eti kugoma kwao madaktari ni utovu wa nidhamu kwa waziri mkuu mpaka wenzake akina Mwabulambo na Kayanda wanamshangaa
Hivi CV ya huyu mtu ipoje,maana watu wasije comment kumbe mtu yenyewe ubonge wake haujakomma.Mwenye CV ya Kibonde,tafadhali aiweke hapa.
Kibonde ni nani?,katokea wapi?, Imekuwaje kuwaje hadi awe mtangazaji Clouds?
Huyu kibonde c ni shoga, yeye kwasababu analelewa na ruge kwa kupiga umbeya unadhani analipi la kusema zaidi ya upupu tu? Akawe yeye basi daktari ili asigome, kwani alitumwa akimbie math, phy na bios na kwenda kusomea huo udaku wake anaouleta sasa. Poor kibonde , poor clouds fm.