fuata www.freemedia.co.tz/daima/habari.php?id=30701
Madaktari wanagoma sasa, wanagoma wakiwa na madai ya msingi mikononi mwao. Lakini wakati mgomo unapamba moto, roho za raia na wananchi ziko mashakani.
Juhudi za serikali kutatua mgogoro huo na kumaliza tatizo zinakwenda taratibu kwa mwendo wa kinyonga mlemavu. Mgomo wa madaktari ni hatari kuliko aina zote za migomo kwa sababu unagusa moja kwa moja uhai wa wananchi.
Suala hili linahitaji kiongozi mwenye maamuzi magumu. Wala siyo watu wenye dharau za kiutendaji kama JK na wasaidizi wake. Natamani sana kipindi hiki LOWASA Ndiyo angekuwa Rais au Waziri Mkuu. Bila ya shaka angechukua maamuzi magumu na tatizo hili lingekuwa mfano wa chai ya baridi kwake. Nani mwingine?
Nani mwingine mwenye uthubutu na roho ngumu ya maamuzi kati ya waliopo CCM sasa zaidi ya mchapakazi LOWASA anayetetea maslahi ya wanyonge? Huu ndiyo ukweli japo wenye akili zilizopiga sarakasi watapinga na kudai nimevuta bahasha kama kawaida yao.
kwani imeandikwa wapi kuwa ccm wataongoza Tanzania milele? Hebu acha utani bana.Narudia tena kwamba licha ya yote yanayosemwa juu ya Lowassa lakini kiutendaji ni bora kulinganisha na wenzake ktk CCM. Mifano ya utendaji wake ipo wazi,anayebisha huyo ana matatizo yake ama ni chuki binafsi!
...Si Lowassa huyu ndiye aliyeiingiza nchi mkengeni na kusaini mkataba na Dowans wakati nchi ilipokuwa gizani!? Hivi Lowassa aliwahi kutatua tatizo gani nchini mpaka astahili kupigiwa debe kwamba angechukua maamuzi magumu kama angekuwa Waziri Mkuu/Rais ili kumaliza mgomo wa madaktari? Au kuna Lowassa mwingine zaidi ya huyu ambaye ametumia madaraka yake mbali mbali aliyoyahodhi serikalini kujitajirisha kupitia migongo ya walipa kodi!? Acheni kumfagilia mtu ambaye hastahili kufagiliwa hata kwa sekunde moja.
www.freemedia.co.tz/daima/habari.php?id=30701
....Ni nani aliyemzuia kutuambia ukweli Watanzania mara baada tu ya kutokea sakata la Dowans badala ya kusubiri miaka chungu nzima kukatika sasa ndio anaona umuhimu wa kuusema ukweli? Ukweli huu ameamua kuusema sasa kwa maslahi ya Watanzania au kwa maslahi ya Lowassa na kundi lake la mafisadi katika kuelekea kwenye kinyang'anyiro cha 2015?
Madaktari wanagoma sasa, wanagoma wakiwa na madai ya msingi mikononi mwao. Lakini wakati mgomo unapamba moto, roho za raia na wananchi ziko mashakani.
Juhudi za serikali kutatua mgogoro huo na kumaliza tatizo zinakwenda taratibu kwa mwendo wa kinyonga mlemavu. Mgomo wa madaktari ni hatari kuliko aina zote za migomo kwa sababu unagusa moja kwa moja uhai wa wananchi.
Suala hili linahitaji kiongozi mwenye maamuzi magumu. Wala siyo watu wenye dharau za kiutendaji kama JK na wasaidizi wake. Natamani sana kipindi hiki LOWASA Ndiyo angekuwa Rais au Waziri Mkuu. Bila ya shaka angechukua maamuzi magumu na tatizo hili lingekuwa mfano wa chai ya baridi kwake. Nani mwingine?
Nani mwingine mwenye uthubutu na roho ngumu ya maamuzi kati ya waliopo CCM sasa zaidi ya mchapakazi LOWASA anayetetea maslahi ya wanyonge? Huu ndiyo ukweli japo wenye akili zilizopiga sarakasi watapinga na kudai nimevuta bahasha kama kawaida yao.
naona umetumwa kusafisha njia, wanajamvi wamekugomea
zing said:Kwa hiyo unataka kutuambia LOWASA ni kiongozi REACTIVE na sio PROACTIVE.
Tanzania inataka kiongozi PROACTIVE wa kuzuia matatizo kabla hayajotea na sio wanasiasa wa kutafuta umaarufu kwenye migomo na misiba.
- kawa waziri mkuu kwa miaka mingapi.?
- Akiwa waziri mkuu migomo mingapi imetokea na nini kilifanyika? Walimu, madaktari,etc
- Lowasa Akiwa waziri mkuu amesaidia nini au alifanya kufanya ajira na kazi za watendaji zinalipa zaidi na maslahi makubwa kuliko za siasa ?.....
Sasa ebu tuambie engekuwa Lowasa nini kingefanyika
Hebu kwanza jibuni maneno na hoja hizi. Kanusheni kwanza haya ili tujue kweli Lowasa fisadi. Kwa hili, Lowassa umenena na uko huru
Madaktari wanagoma sasa, wanagoma wakiwa na madai ya msingi mikononi mwao. Lakini wakati mgomo unapamba moto, roho za raia na wananchi ziko mashakani.
Juhudi za serikali kutatua mgogoro huo na kumaliza tatizo zinakwenda taratibu kwa mwendo wa kinyonga mlemavu. Mgomo wa madaktari ni hatari kuliko aina zote za migomo kwa sababu unagusa moja kwa moja uhai wa wananchi.
Suala hili linahitaji kiongozi mwenye maamuzi magumu. Wala siyo watu wenye dharau za kiutendaji kama JK na wasaidizi wake. Natamani sana kipindi hiki LOWASA Ndiyo angekuwa Rais au Waziri Mkuu. Bila ya shaka angechukua maamuzi magumu na tatizo hili lingekuwa mfano wa chai ya baridi kwake. Nani mwingine?
Nani mwingine mwenye uthubutu na roho ngumu ya maamuzi kati ya waliopo CCM sasa zaidi ya mchapakazi LOWASA anayetetea maslahi ya wanyonge? Huu ndiyo ukweli japo wenye akili zilizopiga sarakasi watapinga na kudai nimevuta bahasha kama kawaida yao.
........"CCM ninayoifahamu ni ile inayotenda haki na hakiwezi kumtuhumu mtu hadharani bila ushahidi kama walivyofanya Chiligati na Nape na kwa mujibu wa kanuni ni vibaya kumtuhumu bila vikao vya maadili ya chama," alisema.
Yaani unataka kuanzisha mada nyingine. Hoja yangu inatokana n a mada uliyoleta wewe . hiyo link haijajibu. alafu unajua wakati Lowasa Akiwa PM Posho za wabunge zilipanda kwa asilimi ngapi? Je unajaua za walimu na madaktari zilipanda kwa asilmia ngapi?
Usikwepe swali jibu hapo juu angekuwa Lowasa angefanya nini ?