Leo ni siku ya juma3 tar 25/06/12 ambapo wananchi wengi walisubiria kujua hatima ya mgomo wa madaktari. Taarifa ya habari ITV, STAR TV NA CHANEL TEN wameripoti kuwa hali ni mbaya Bugando , Mhimbili, MOI, OCEAN ROAD, MBEYA Kwani madaktari wengi wameunga mkono mgomo hali inayo wafanya wananch weng kuhaha huku walio na uwezo wakipeleka wagonjwa private. Kwa upande mwingine TBC1 Wameendelea na mgomo wa kutotangaza mgomo wa madaktari. Wa Tz kwakwel hali ni mbaya
TBC wameamua kuunga mkono mgomo wa madaktari kwa kugoma kuonyesha ukweli.
nawasapoti ma dr. Wasirudi nyumatujuzeni wakuu... hii ishu nakumbuka ilinifanya nkapigwa ban... siihitaji kua upande wowote leo.
TBC wanaboaa ile mbaya sijui tuyafanyeje haya madude
Tatizo mna waamini mno viogozi wenu, wenye apetaiti kuliko viwavi
tatizo la wanasiasa ni kudhania kuwa wao tu ndio wenye kujua siasa.