Viongozi wa chama cha madaktari watangaza rasmi kusitisha mgomo uliokuwa ukiendelea baada ya kuzungumza na Raisi Dr. Jakaya Kikwete,...pamoja na hayo wamemsimamisha uanachama Dr. Nkya kwa muda wa miaka miwili.
Source: Breaking News, Radio Clouds at 15:12hrs
Search, search.....error........No network coverage,..........
MAT ni voluntary profesional association ambayo iko kama tuu NGO fulani, hivyo kumsimamisha uanachama Dr. Nkya, hakuna madhara yoyote kwake, kama angesimamishwa uanachama na Medical Council of Tanzania, that would be something else, kwa sababu, msajili angeweza kumfutia leseni yake ya udaktari hivyo hangeweza ku practice mahali popote duniani!.Viongozi wa chama cha madaktari watangaza rasmi kusitisha mgomo uliokuwa ukiendelea baada ya kuzungumza na Raisi Dr. Jakaya Kikwete,...pamoja na hayo wamemsimamisha uanachama Dr. Nkya kwa muda wa miaka miwili.
Source: Breaking News, Radio Clouds at 15:12hrs