Moshe Dayan
JF-Expert Member
- Feb 10, 2008
- 815
- 698
Hata mm sijawapata hawa jamaa.., nimeona majina kama matatu hivi..., ufafanuzi pleaseMkuu hv kwanini mnamuita Said Bagaille
Hata mm sijawapata hawa jamaa.., nimeona majina kama matatu hivi..., ufafanuzi pleaseMkuu hv kwanini mnamuita Said Bagaille
Haters mnahangaika bure bin buresha! Mimi I am not to say in politics for long, nimeishaamua kutogombea tena sasa mnahangaika kweli kujaribu kutafuta jinsi ya kunimaliza, fanyeni kazi zenu bana. Nimeishawajua mnaohangaika na mimi, mnafanya spinning za kila aina, mnapoteza muda wenu bure. Nitatoa mfano wa kuwashughulikia watatu kati yenu na hapo tutaheshimiana, najua mtaumia sana maana hamna pa kushika zaidi ya kuhonga na kulamba lamba miguu mpewe vyeo, nitahakikisha hamchaguliki na wala hamteuliki kamwe, nitahakikisha mnastaafu siasa mkingali wadogo! Mimi siyo kama nyie uzuri wenyewe, you cant hurt me brothers, mimi nimetoka shambani na street na huko nimepazoea, nitarudi peacefully, nyie mtarudi wapi? Hizi ni salamu kwenu...kaeni tayari kusikia kutoka kwangu...mtajua kwa nini nilipewa jina la 'Simba dume'
Kigwa huu uamuzi unaotaka kuufanya sio mzuri hata kidogo..usifikiri kuwa watu wanayokupinga hapa wanamaanisha kuwa wanakuchukia au hawapendi maendeleo yako au hawaoni mchango wako..mchango wako ni mkubwa sana kwenye jamii kama hujui ..na unaweza ukawa huamini ila unaweza kukuta wengi waliokomenti kwenye hii thread hawana nia mbaya na wewe na wengi wao hawakujui kwa ukaribu wala nini kama unavyofikiria.Nchi yetu inahitaji vijana kama nyinyi na huo mpango wako wa kutokurudi tena please fikiria kwa mara ya pili..ukipingwa haimaanishi kwamba unachukiwa au watu hawataki uwe hapo ulipo..wengine ni hulka yao kutosifia na kupigia makofi kila kitu na wengine wana hasira na chama chako tu thats all.Haters mnahangaika bure bin buresha! Mimi I am not to say in politics for long, nimeishaamua kutogombea tena sasa mnahangaika kweli kujaribu kutafuta jinsi ya kunimaliza, fanyeni kazi zenu bana. Nimeishawajua mnaohangaika na mimi, mnafanya spinning za kila aina, mnapoteza muda wenu bure. Nitatoa mfano wa kuwashughulikia watatu kati yenu na hapo tutaheshimiana, najua mtaumia sana maana hamna pa kushika zaidi ya kuhonga na kulamba lamba miguu mpewe vyeo, nitahakikisha hamchaguliki na wala hamteuliki kamwe, nitahakikisha mnastaafu siasa mkingali wadogo! Mimi siyo kama nyie uzuri wenyewe, you cant hurt me brothers, mimi nimetoka shambani na street na huko nimepazoea, nitarudi peacefully, nyie mtarudi wapi? Hizi ni salamu kwenu...kaeni tayari kusikia kutoka kwangu...mtajua kwa nini nilipewa jina la 'Simba dume'
Kigwa huu uamuzi unaotaka kuufanya sio mzuri hata kidogo..usifikiri kuwa watu wanayokupinga hapa wanamaanisha kuwa wanakuchukia au hawapendi maendeleo yako au hawaoni mchango wako..mchango wako ni mkubwa sana kwenye jamii kama hujui ..na unaweza ukawa huamini ila unaweza kukuta wengi waliokomenti kwenye hii thread hawana nia mbaya na wewe na wengi wao hawakujui kwa ukaribu wala nini kama unavyofikiria.Nchi yetu inahitaji vijana kama nyinyi na huo mpango wako wa kutokurudi tena please fikiria kwa mara ya pili..ukipingwa haimaanishi kwamba unachukiwa au watu hawataki uwe hapo ulipo..wengine ni hulka yao kutosifia na kupigia makofi kila kitu na wengine wana hasira na chama chako tu thats all.
Kwani huyo Bagaile a.k.a Hamis Kigwangala yuko Chadema? Maana wakubwa wanasema Chadema ndiyo wanaochochea huu mgomo.Ama kweli mfa maji haishi kutapatapa, yaani Serikali ya CCM inatafuta mchawi kila uchao.
Haters mnahangaika bure bin buresha! Mimi I am not to say in politics for long, nimeishaamua kutogombea tena sasa mnahangaika kweli kujaribu kutafuta jinsi ya kunimaliza, fanyeni kazi zenu bana. Nimeishawajua mnaohangaika na mimi, mnafanya spinning za kila aina, mnapoteza muda wenu bure. Nitatoa mfano wa kuwashughulikia watatu kati yenu na hapo tutaheshimiana, najua mtaumia sana maana hamna pa kushika zaidi ya kuhonga na kulamba lamba miguu mpewe vyeo, nitahakikisha hamchaguliki na wala hamteuliki kamwe, nitahakikisha mnastaafu siasa mkingali wadogo! Mimi siyo kama nyie uzuri wenyewe, you cant hurt me brothers, mimi nimetoka shambani na street na huko nimepazoea, nitarudi peacefully, nyie mtarudi wapi? Hizi ni salamu kwenu...kaeni tayari kusikia kutoka kwangu...mtajua kwa nini nilipewa jina la 'Simba dume'
Haters mnahangaika bure bin buresha! Mimi I am not to say in politics for long, nimeishaamua kutogombea tena sasa mnahangaika kweli kujaribu kutafuta jinsi ya kunimaliza, fanyeni kazi zenu bana. Nimeishawajua mnaohangaika na mimi, mnafanya spinning za kila aina, mnapoteza muda wenu bure. Nitatoa mfano wa kuwashughulikia watatu kati yenu na hapo tutaheshimiana, najua mtaumia sana maana hamna pa kushika zaidi ya kuhonga na kulamba lamba miguu mpewe vyeo, nitahakikisha hamchaguliki na wala hamteuliki kamwe, nitahakikisha mnastaafu siasa mkingali wadogo! Mimi siyo kama nyie uzuri wenyewe, you cant hurt me brothers, mimi nimetoka shambani na street na huko nimepazoea, nitarudi peacefully, nyie mtarudi wapi? Hizi ni salamu kwenu...kaeni tayari kusikia kutoka kwangu...mtajua kwa nini nilipewa jina la 'Simba dume'
Umeingia kwenye siasa uchwara inahitajika uwe na roho ya chuma, tatizo hilo lichama ulilopo watu hawalipendi na ngumu sana kushine ukiwa ndani ya lichama la hovyo namna hiyo, nilikuwa siku ile na Zitto Kabwe mlipokuwa Mlimani tv mlifanya vizuri wote wawili, tatizo kubwa ni CCM usikubali kufa na CCM ni janga la Taifa.Things are not always as they seem... am seriously dissappointed!
bagaile = vuvuzela
watanzania tumejenga TAIFA la lamenters hivyo hakuna la wema nyie kutoka kwa kiongozi wa CCM, ningekaa kimya mngesema ni kweliNi kichekesho kweli... endapo wanasiasa wote wangekua wanajibu kila kitu wanachosikia hata kwenye vibanda vya chipsi basi tungekua na idara kabisa maalum wizarani na kwenye magazeti na hata vijarida INAYORATIBU MATAMKO
Ni upuuzi mkubwa kila kukicha mtu mmoja kutoa matamko....
What a waste of time, sometimes letting things go gives one more respect
Things are not always as they seem... am seriously dissappointed!