Mzalendo80
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 2,508
- 1,338
Hizo Hospital zingekuwa zinatibu viongozi wangesikilizwa lakini ni za walalahoi, they don't care.
Serikali inachezea shilingi Chooni - itajuta muda si mrefu.
Ubora wa Kiongozi hupimwa nyakati kama hizi -Pinda ameonesha kuwa yeye ni failure.
Mkuu Mzee Mwanakijiji, kama unafikiri aliyoyasema Pinda ni ya kwake, you are wrong!. Unless things get off hand na Pinda nae aendoke kumnusuru mtutu yule yule ambaye Lowassa aliondoka kumnusuru kwenye Richmond!.Tusipoangalia mgomo huu utakuwa ni Richmond ya Pinda - utaondoka naye.
Mwanakijiji M.M naomba ushauri huu au mawazo yako yaandikwe gazetini,maana nimesikiliza tamko la PM nimesoma bandiko lako nimeona mawazo yako ndio yalitakiwa ayatoe PM wakati akijadiliana na M-dr,na Tamko la PM ni kama tamko la mtu ambaye alikuwa anapiga porojo wala hakuwa amejiandaa ku-address issue kubwa kama hii,sijui tatizo liko wapi kwa viongozi wetu,sijui ni kweli kwamba wao wanaamini kila migomo inayotokea hapa nchi inakuwa backed up na Chadema?
Please mwanakijiji naomba mawazo haya yawe published soon kwenye moja ya print media.
Makubaliano ni muhimu sana. Lakini mbona madaktari hawakutaka kukutana na PM? Hayo makubaliano bila mazungumzo yatapatikanaje kwa njia ya kuandikiana barua?
Mkuu Mzee Mwanakijiji, kama unafikiri aliyoyasema Pinda ni ya kwake, you are wrong!. Unless things get off hand na Pinda nae aendoke kumnusuru mtutu yule yule ambaye Lowassa aliondoka kumnusuru kwenye Richmond!.
Kweli kwani kashindwa kutatua tatizo anakimbilia Sitting allowance DodomaSerikali inachezea shilingi Chooni - itajuta muda si mrefu.
Ubora wa Kiongozi hupimwa nyakati kama hizi -Pinda ameonesha kuwa yeye ni failure.
Mi nawaunga mkono kwa kuto taka kukutana na PM, Mi naamini PM ni bendera fuata upepo, ni mangapi ameshindwa kuyatatua mpaka amngoje JK? Kumbuka ya Jairo na lile la kuongeza posho, ameshindwa kabisa kuact km PM na kuacha watu wamburuze km toroli, mi ningeshauri waseme kuwa wao wanataka kumuona JK mwenyewe sio PM cha uoga.Jana kaongea lakini ukimcheck tu utaona confidence hana sema tu kaamua kusema.Kingine mi madaktari bila kukamalia yule katibu mkuu wa wizara ua afya kuondolewa pale na kuletewa mtu makini basi hakuna kitakacho endelea. Mi nawaunga mkono madaktari waendelee na mgomo wao ili sekta ya afya ipate ukombozi, kila kwenye kutafuta mabadiliko lazima vifo vitokee, kwa hio kwa hili sioni tatizo.Makubaliano ni muhimu sana. Lakini mbona madaktari hawakutaka kukutana na PM? Hayo makubaliano bila mazungumzo yatapatikanaje kwa njia ya kuandikiana barua?
Utawezaje kuka meza moja na watu ambao ndio channzao cha mgomo huo, kama kweli serikali ingekuwa makini inewaondoa kwanza waziri, katibu mkuu na mganga mkuu (huyu alikuwa mganga wa Manispaa, Jiji ndipo kwa uswahiba akwa Chief Medical Doctor) ndipo mazungumzo yafanyike